Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Aaahahahahahahahahhaaa

I see myself in her...

I love that life...

Self evaluation 😜, shurti raha kujipa mwenyewe
MBONA KAWAIDA SANA KWANI WAKIDOOO HUWA HAWAKO UCHI tena na hiki Korona heri ujifurahishe maana siku zinayoyoma
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Sometimes akivua nguo uwe unamsifia maungo yake; if you don't be sure someone will one day..
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Tena na video yake imetoka
 
Mkuu maelezo bila picha ni umbea,,,,
Wana JF mmeniinua..sasa sijui huyu jamaa kashaweka picha..maana mkewe kucheza uchi ni jambo moja....mwenye mke kushangaa mkewe kucheza uchi ndo linaloshangaza....sasa kama mwenye nyumba unashangaa sisi wapita njia tufanyaje
 
Huyo ndio mwanamke sasa, kila siku anakupa surprise mpya mpya; sio kila siku ni hayo hayo tu. Remember mwanamke akikununulia chochote wala hua hakina impact kubwa kiviile kwetu wanaume cause vingi wanavyo tununulia, sisi ndio tunawapaga HELA, the only thing ni huo mwili wake, the good thing, kafanya akiwa peke yake tena chumbani na kafanya mida ambayo anajua muhusika wa mwili wake ndio anarudi from job(s). Kwa ufupi, hilo toto ni ni wife material, linakupa kitu kipya kila siku, yaani libunifu. Chizi asingefanyia hayo chumbani bhana
 
Hahaha , mashikolo mageni,!
nganga mbofu,,, shida iko wapi mwili Ni wake,!wewe Ni mpangaji tu!!! matumizi umupangie loh!!!
na bado jiandae kisaikolojia
 
Mimi juzi kati nimemfuma dada wa kazi nae akifanya ivyo ivyo! Tena mbaya zaidi yeye alikua kaweka earphones kwahiyo wala hakuniona nimemkodolea macho zaidi ya dakika 10
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Kuna basha amemwambia amtumie ndo mana akawa anajirekodi
 
That's really great to hear that brother. Would you please avail me with her phone number? I have something special to consult her for your benefit.
 
Ukiona mtu anafanya hayo especialy mwanamke ujue bas kuna mtu anataka aka mu impress...definetly sio wew...kuna mtu mkeo anajitathmin kwake

Chunguza sana..ukioma mkeo demu wako gagla tu anavaa tofaut.ki sexy etc etc ujue kuna mtu anamvuta na sio wew..hao tuish nao kwa akil sana..hapo kuna mtu anafikiriwa ...

Mfano mim nabeba weights kwa ajili ya mtu fulan..au naweza jipima dushe kwaa ajili ya kujiridhisha nafsi fo somebody..not for me..etc..hata nikijua naenda date na demu mpya.bas siku hyo lazima nijikok
 
Siku ukioa Mnyakyu ndio utajua nguvu ya uchi.
Yaani ukitaka kumpiga anakimbila chumbani anajirusha kitandani halafu anamanu....hasira zote zinakutoka ukiiona mbususu LIVE
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Kwenye maelezo yako hapa unasema umemkuta amejifungia chumbani,

Sasa kama kajifungia chumbani wewe ulimuonaje?
Au ulivunja mlango kwa ghafla

Au mmoja wenu akiwa hayupo huwa mnaacha mlango wazi?

Kama alikuwa kajifungia chumbani na ukagonga akakufungulia je huoni yeye mwenyewe ndiyo alikusudia umkute kwenye hali hiyo?

Shida iko wapi hapo?
Kumkuta uchi?
Au kucheza uchi?
 
Back
Top Bottom