Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Human nature
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaniambia siri ya kioo kwa mwanamke, wanaweka mna vitu vyenu mkichunguzwa tutawashanga kumbe ni vitu vya kawaida,nimeshindwa muelewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaishi na chiziWakuu kwema?
Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Tuma ka video kusupport ushahid bhasiHata Mimi..nishafanya Hivyo sanaaa
Sasa tatizo liko wapi hapo ..mtu asituarahie maumbile yake' !? [emoji3][emoji3]Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
Naunga mkono hojaMkuu maelezo bila picha ni umbea,,,,
Ni kawaida sana, na wewe ukimkuta wako anafanya hivyo wala usishangae..i know its strange. haswa kama hujawah kumkuta akifanya hiko kitu before.
so the best way ni kumuuliza kulikoni. hawa wanawake hawaeleweki sometimes man
I am interested. Why mnafanya hiyo kitu?Ni kawaida sana, na wewe ukimkuta wako anafanya ivo wala usishangae..
Very normal.
Tukiwa na hamu tunakuwa hivyo!!!!!!Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
Tena zimemzidii balaa...itakuwa ashajishughulikia hazijaishaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tukiwa na hamu tunakuwa ivyo!!!!!!
Fafanua hamu ya ninitukiwa na hamu tunakuwa ivyo!!!!!!
Kwakwel hata sijui, unajikuta tuu una-admire unavyojiona unakatika kwenye kioo, somehow satisfying especially kama unajikubali.i am interested. why mnafanya hiyo kitu?