Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Kuna uzi flani unazungumzia vituko ambavyo watu hufanya wakiwa wenyewe. Wanawake wengi walisema wana tabia ya kucheza wakiwa uchi. Cc kulwa Joanah

Huu uzi?

Ama huu

 
Tena hapo ilitakiwa na wewe uvue nguo mcheze wote.
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Ulivyofika umeangalia simu kategesha wapi, pengine ilikuwa inaenda kwa mchepuko
 
Kuna mdada jana kaomba ushauri afanyaje tumbo linamuuma baada ya kuliwa tope na boy wake mpya
 
Halafu huwa anajirekodi na kunitumia video mzee
You better make quick to stop that manner of her. Akiacha na kukaa kimya ataona pia unapendezwa na ujinga anaoufanya, next atapiga hatua kwenye kipengele kingine kinachoendana na huo ujinga, be careful man. Wanawake wanapenda ku test Kwanza ukijaa tu yatakayo jili baadae utajilaumu why don't u stop her soon.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake wasio na tako na shepu wakijiangalia wanajisikiaje?

Mie sina vyote hivyo na nikiangalia najikagua, ngozi yangu iko mororo..!?? Imepata mafuta kila eneo...!???

Najipa matumaini iko siku tako litakua kubwa na shepu itabambataa tuu😜.
 
Back
Top Bottom