Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Tuna kitu tutafika mbaliMungu akujaalie ufanikiwe hitaji la Moyo wako, ila dada zangu wa kichaga jamni ohooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna kitu tutafika mbaliMungu akujaalie ufanikiwe hitaji la Moyo wako, ila dada zangu wa kichaga jamni ohooo
Nenda manzese darajani nakuhakikishia utapata mke siku moja mahari kuku Tatu ndoa inafungwaWanajamvini mimi ni mwanaume nemerudi baada ya miaka mingi na natafuta mchumba ambaye baadae atakua mke.
Sifa ninazoziangalia.
Mimi
- Awe mwislam.
- Asiwe mchaga.
- Mwembamba au mnene wastani.
- Urefu wa wastani(Average) chini ya 5.5” (1.67m).
- Umri 25-30 yrs(au 35 kama hahitaji watoto).
- Awe tarari kupima.
- Aweze kuvumilia long distance relationship kwa sasa(Naishi nje kwa sasa).
- Elimu kuanzia form 4 na kuendelea.
Kama upo serious njo DM tuongee then tutanzia hapo.
- Muislamu.
- Mwembamba.
- Urefu 5.7” (1.7 m).
- Umri 40 yrs.
- Nina mtoto mmoja.
- Hardworking.
- Napenda maisha ya utulivu.
Ka long distance kamenikosesha mume mwenzenuuu🥺Wanajamvini mimi ni mwanaume nemerudi baada ya miaka mingi na natafuta mchumba ambaye baadae atakua mke.
Sifa ninazoziangalia.
Mimi
- Awe mwislam.
- Asiwe mchaga.
- Mwembamba au mnene wastani.
- Urefu wa wastani(Average) chini ya 5.5” (1.67m).
- Umri 25-30 yrs(au 35 kama hahitaji watoto).
- Awe tarari kupima.
- Aweze kuvumilia long distance relationship kwa sasa(Naishi nje kwa sasa).
- Elimu kuanzia form 4 na kuendelea.
Kama upo serious njo DM tuongee then tutanzia hapo.
- Muislamu.
- Mwembamba.
- Urefu 5.7” (1.7 m).
- Umri 40 yrs.
- Nina mtoto mmoja.
- Hardworking.
- Napenda maisha ya utulivu.
Kweli ehe?Nenda manzese darajani nakuhakikishia utapata mke siku moja mahari kuku Tatu ndoa inafungwa
Kama ni Muislam na ana hizo sifa ntingine itakua poa sana.Muislam nikuungishe na mtu mwema umuoe
Thanks.All the Best
Si kwa ubaya wachaga wapo poa. Ila nadhani kuna watu wanawawezaMungu akujaalie ufanikiwe hitaji la Moyo wako, ila dada zangu wa kichaga jamni ohooo
Nipo serious toa nambaKama ni Muislam na ana hizo sifa ntingine itakua poa sana.
😃😃Mwenye watoto wanne mkuu nafasi yake ipo? Imagine unapata mke na watoto juu
😆😆🙌🏾Mwenye watoto wanne mkuu nafasi yake ipo? Imagine unapata mke na watoto juu
serious ni maneo gani nikufuateNipo serious toa namba
Arusha ila hadi nisearchserious ni maneo gani nikufuate
Njo DMNipo serious toa namba
😂😂Mwenye watoto wanne mkuu nafasi yake ipo? Imagine unapata mke na watoto juu
Kiukweli mm nawapendaga sana ila kunammoja nakaa nae 😂😂😂ana kauli ngumu ndo naanza kuwajua Sasa japo sio wote wako hivoMungu akujaalie ufanikiwe hitaji la Moyo wako, ila dada zangu wa kichaga jamni ohooo