Nimerudi JF kutafuta mchumba

Nimerudi JF kutafuta mchumba

Wanajamvini mimi ni mwanaume nemerudi baada ya miaka mingi na natafuta mchumba ambaye baadae atakua mke.
Sifa ninazoziangalia.
  1. Awe mwislam.
  2. Asiwe mchaga.
  3. Mwembamba au mnene wastani.
  4. Urefu wa wastani(Average) chini ya 5.5” (1.67m).
  5. Umri 25-30 yrs(au 35 kama hahitaji watoto).
  6. Awe tarari kupima.
  7. Aweze kuvumilia long distance relationship kwa sasa(Naishi nje kwa sasa).
  8. Elimu kuanzia form 4 na kuendelea.
Mimi
  1. Muislamu.
  2. Mwembamba.
  3. Urefu 5.7” (1.7 m).
  4. Umri 40 yrs.
  5. Nina mtoto mmoja.
  6. Hardworking.
  7. Napenda maisha ya utulivu.
Kama upo serious njo DM tuongee then tutanzia hapo.
Usinye maji kweli
Utaishi bila kunya maji siwezi aisee
 
Wanajamvini mimi ni mwanaume nemerudi baada ya miaka mingi na natafuta mchumba ambaye baadae atakua mke.
Sifa ninazoziangalia.
  1. Awe mwislam.
  2. Asiwe mchaga.
  3. Mwembamba au mnene wastani.
  4. Urefu wa wastani(Average) chini ya 5.5” (1.67m).
  5. Umri 25-30 yrs(au 35 kama hahitaji watoto).
  6. Awe tarari kupima.
  7. Aweze kuvumilia long distance relationship kwa sasa(Naishi nje kwa sasa).
  8. Elimu kuanzia form 4 na kuendelea.
Mimi
  1. Muislamu.
  2. Mwembamba.
  3. Urefu 5.7” (1.7 m).
  4. Umri 40 yrs.
  5. Nina mtoto mmoja.
  6. Hardworking.
  7. Napenda maisha ya utulivu.
Kama upo serious njo DM tuongee then tutanzia hapo.
Mrejesho
 
Back
Top Bottom