Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
Hongera sana mamii.
Karibu tena jamvini
 

Kwanza nimeongelea swala la opposition tax hapo juu, kwamba wapinzani wasitake kufanya yale yale wanayofanya CCM kwa sababu watakuwa hawabadilishi kitu.

Pili, the issue here is not about kushinda chaguzi tu, bali zaidi ni kuwafanyia wananchi kazi sawa.
 

Whether kaenda Bahamas, Dar au Morogoro mjini, kujinadi kama mdau wa Kilombero bila ya kuwa na primary domicile huko si fresh, na kuwakacha wananchi wa Kilombero wiki moja tu baada ya uchaguzi ili kurudi kwenye mitandao na viyoyozi is even worse.
 
Flora na Asha wamegeuka Yesu siku hizi?

The Finest mdogo wangu, mimi siendi bar mpendwa.... Hao akina Flora na Asha na Eliza wanapatikana Bar ambako mimi sifiki ndugu yangu.
 

Pole, kura zako zilichakachuliwa. Tulisikia
 
Mr/Mrs/Ms Kiranga, now u seem to be coming to terms with reality.....I must admit, it's quite some progress on your learning curve.

Remember the Kubenea debate re his article on Sofia Simba?

Remember that many contributors voiced that this country needed people who were ready to be sacrificial lambs to save this nation from the deepest of woes (yes, I said "woes" because I hate swearing) it is in?

Remember a whole host of contributors then singled out some of the great names you have mentioned above? Remember?
Remember what your position was then? Remember?

Am happy that the efforts by those who were lecturing on you then were not wasted afterall, as there you are now.. dancing to that same tune!

Kuhusu dada yetu Regia, I dont concur at all with your one sided, depth-less observation.

Mathalani, mimi (labda nawe pia) naipenda sana family yangu na saa zote natamani niwe nayo lakini kwa sababu ya kutaka kuifanya iendelee ku-survive huwa inanibidi nikae nayo mbali kwa kipindi fulani kirefu hivi nikitafuta maisha huko mbali. Nikilazimika kwenda nyumbani kwa sababu yoyote ile kwa kitambo, ninaapondoka huwa naaga kuwa narudi kule (ambako ndiko kunapatikana chochote cha kujikimu). Je hii inanifanya nionekane siipendi familia yangu?
Ndivyo ilivyo kwa dada Regia pia. Baada ya kushiriki na watu wa nyumbani katika masuala hayai, sasa anarudi kule kunakopatikana chochote ili apate hata hicho kidogo cha ku-share na ndugu zake wa Kilombero. Sasa ulitaka akae Kilombero akodoleane nao macho tu na hao watu wake, na eti hicho ndicho kiwe kipimo cha kuonekana kuwa anawajali? Sidhani.
 
Whether kaenda Bahamas, Dar au Morogoro mjini, kujinadi kama mdau wa Kilombero bila ya kuwa na primary domicile huko si fresh, na kuwakacha wananchi wa Kilombero wiki moja tu baada ya uchaguzi ili kurudi kwenye mitandao na viyoyozi is even worse.

Kwa taarifa yako siku hizi mitandao na viyoyozi bongo kila sehemu hata Ikungulyabashasi ipo!! Kwa hiyo kusema Regia kawakacha wana Kilombero ili arudi "kwenye mitandao na viyoyozi" ni dharau ya kipekee kwa wana Kilombero. Una uhakika gani Kilombero hakuna vifaa na huduma hizo hadi Regia 'awakache' na kuvifuata kwingine kama unavyodai? Hivi kwani una nini dhidi ya Regia wewe? Ulipigwa kibuyu nini?
 

Ahsante KIRANGA!!!!!!!!!!, Kura yangu unayo 2015, twataka Watu kama nyinyi kuikomboa nchi, people who call 'SPADE A SPADE, and not a BIG SPOON!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…