unakunywa nami valuu kila siku....!na madem huwa nakutafutia,na gesti huwa nakufanyia buking!Huyu baba Gift ni wa wapi tena?? Do I know u?
jumatano tutakutana.............!Karibu mamaa ya shoka.
Tupo pamoja, tutapeana coordinates kwa ajili ya kukupongeza. Wewe ni mshindi na sisi tunajua hivyo!
Inaonekana wahudumu wa bar zote unawafahamu
...kama wewe unavyowafaham masista wa makanisa yote
Wapwaz na Binamuz wote.
Ni matumaini yangu kuwa wote mko salama.Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza wale wote kwa namna moja ama nyingine mmeshiriki kufanikisha uchaguzi wa mwaka hu popote pale mlipo kwa ngazi yoyote ile iwe udiwani,ubunge na hata urais,pongezi sana!!!.
.............................
.......wana nini!!Kuna wengine humu kazi kweli kweli!
Unajitahidi sana, lakini unavyozidi kujitahidi ndivyo unazidi kujiadhiri.
Actually speed in the wrong direction is very relevant. Because the more you move in the wrong direction the further away from the right destination you get. One must always head in the right direction.
Na hapa Regia amekuwa na speed in the wrong direction. Badala ya kuzama zaidi Kilombero na kuwajua zaidi wananchi wa Kilombero, yeye wiki moja tu baada ya uchaguzi kawakimbia.
Speed in the wrong direction, very relevant.
Hii concept nzima ya "kurudi" kutoka Kilombero mimi napata tabu nayo sana. Inaonekana Kilombero -pamoja na majimbo mengine ya vijijini- ni sehemu za kwenda wakati wa uchaguzi tu, uchaguzi ukiisha watu wanarudi kwenye shughuli zao za kawaida mijini.
Badala ya wagombea walioshindwa mwaka huu kubaki huko vijijini kuimarisha vyama vya upinzani, kuisadidia jamii pamoja na kupanga mikakati ya kushinda hivi viti katika uchaguzi ujao, tunaona increasingly "wanarudi" mijini.
Wapinzani wakiendelea kushindwa katika kila chaguzi zijazo watashangaa kweli kwa mwendo huu wa kwenda majimboni nyakati za chaguzi tu, na chaguzi zikiisha wanarudi mijini kwenye mitandao na urahisi wa maisha ?
Tunawatendea haki wananchi kweli kwa mwenendo huu ?[/QUOTE
Kakwambia haendi tena??
we kweli ni mwehu.....nadhani hujamaliza dawa zako za ugonjwa wa kichaa ulokuwa unaugua kwa muda mrefu sasa..
we kweli ni mwehu.....nadhani hujamaliza dawa zako za ugonjwa wa kichaa ulokuwa unaugua kwa muda mrefu sasa..
eti Kiranga we Mwehu?
Maisha lazima yaendelee, lakini si lazima yaendelee mjini tu, hususan kwa watu waliotoka kujinadi kama wadau wakubwa wa maendeleo ya watu wa majimbo ya vijijini.
Wabunge wote pamoja na wadau wengine wanaojinadi kuwa au kutaka kuwawakilisha wananchi wa majimbo ya vijijini inawabidi wawe wakazi wa huko huko vijijini, sio mnawapelekea wananchi wagombea ubunge watalii ambao hata wananchi hawawajui. Na wakishindwa uchaguzi wiki moja tu wanakitoa "kurudi" mjini kwenye viyoyozi wakisubiria uchaguzi ujao.