Nimerudi salama-Niliwamiss sana

Status
Not open for further replies.
Karibu mamaa ya shoka.
Tupo pamoja, tutapeana coordinates kwa ajili ya kukupongeza. Wewe ni mshindi na sisi tunajua hivyo!
 
Karibu mamaa ya shoka.
Tupo pamoja, tutapeana coordinates kwa ajili ya kukupongeza. Wewe ni mshindi na sisi tunajua hivyo!
jumatano tutakutana.............!

regia mwenyewe nadhani anaelekea kanda ya kati kesho(dodoma)!

kesho na jumatano tutaijadili kwa kina safari yetu ya kwenda dodoma
 

Hongera sana Regia .Ingawa the end result siyo uliyotegemea naamin milestone ulizoaachive this time zitakusaidia na zitaisaidia CHADEMA next time.

Ebu tukumbushe mchangamanuo wa kura zako na na za washindani wako.
 
Regina you put a great fight. Upo mioyoni mwa wana Kilombero na moyoni mwangu. Mungu awe nawe na akutangulie kwa kila utakalolifanya
 
Big up mama, Umezihirisha tena kuwa akinamama/dada mnaweza!
 
Gender Sensitive, you had a courageous fight but they stole the election from you!! All the same with time mjengoni utaingia! Keep hope alive.!
 
Hongera sana dada, umekuwa mfano kwa akina mama wengine na nina imani wengi watajitokeza katika chaguzi zijazo ili kukuunga mkono!
 
Dada Regia ............Iam really honoured cant say more........... Karibu sana Jamvini na tambua kuwa TUPO pamoja. Sie tunajua kuwa umetuwakilisha vizuri na unastahili kupongezwa kwa ujasiri wako kwanza wa kujitoa...sisi hatusemi tumeshindwa lah bali tumekosa ushindi kwa style yetu..... tufunge mkanda na kujifunza kutokana na yalotokea katika uchaguzi wa Mwaka huu ili 2015 tusifanye makosa kwa kuyarudia yaliotukosesha ushindi mwaka huu.
 
Ndugu zangu wapenzi,nipende kuchukua fursa hii kuwashukuru wote mlionikaribisha tena kwa moyo mmoja na kunitia moyo.Asanteni sana na MUNGU awabariki sana.

Wish you all the best.

With love
Regia
 
Kuna wengine humu kazi kweli kweli!
 

we chizi i mean mwehu, mpaka akaamua kugombea kilombelo maana yake anawajua fika huko, na kuamua kurudi wiki moja baada si dhambi, ataenda tena kilombero na tena na tena kama ilivyokuwa kawaida yake huko nyuma, na suala la kuimarisha chama amelifanya miaka yote huko kilombero na ndo maana akapata ushindi mkubwa ulioibwa na ndugu zako wa ccm (maake kwa ninavyosoma post zako)..na si lazima eti muda huu baada tu ya uchaguzi basi ndo alitakiwa abaki aimarishe chama, anafanya kutokana na aonavyo yeye na si uonavyo wewe mwehu, na ndo maana alivoenda kugombea ubunge alitoa kama taarifa kwa watu na si kuomba ruhusa kwa sababu suala la kumruhusu agombee lilikuwa la chama chake na wananchi wa kilombero....we kiranga kweli kiranga....ni mwehu wa kutosha kabisa
 
 
Ndg Kiranga mbona umemkomalia sana dada yetu! Hayo mambo ya Kilombelo anayajua saana. Inatakiwa Offisi ya chama husika ipange mikakati ya kutoa ushauri na kupambana kwenye majimbo husika si Kilombelo pekee. Tunahitaji kujipanga na kuangalia nini la kufanya ili tuwe karibu saana na wananchi pote Tanzania. Maandalizi ya 2015!

Mpaka hapo hongela sana kwa ujasili ulio onyesha wa kuthubutu, mambo mengine tafuta ushauri wa kisheria mbona kina Mabere Marando wapo.
HONGERA SAANA WATU KAMA WEWE NI WAKOMBOZI WA JAMII.
 
Hongera sana Regina na karibu home. tunashukuru kuwa umerudi in one piece, well and sound, that is the most important thing.
 

Naelekea kukubaliana na Kiranga. Mojawapo ya mambo yaliyomwangusha Batilda Buriani hapa Arusha yalikuwa maelezo ya wapinzani wake ambayo wananchi waliyakubali, kwamba Batilda hakai Arusha mjini kwa hiyo hana hisia za kweli kuhusu shida za Arusha, kwamba hata akishapata ubunge atarudi Dar kwenye shughuli zake, na kwamba ati wakati wakazi wa Arusha wakiteseka na ujenzi holela na miundombinu mibovu ya usafi wa mazingira, Batilda atakuwa amepumzika kwao Zanzibar na mumewe wakipunga upepo ufukweni.

Ni kwanini tunawachagulia watu wa vijijini wagombea kutoka mijini, je hii si dharau kwa watu wa vijijini? Watu wanatoka Dar kwenda kugombea Karagwe, Tunduru nk kama vile huko hakuna watu? Nimewahi kumsikia mbunge wa jimbo moja la mkoa wa Singida akichangia hoja bungeni ambapo alilalamikia foleni ya magari barabara za Dar es salaam, wakati jimboni kwake watu wanatumia punda kubebea mazao kwenye barabara za vumbi vichakani! Anazungumzia adha za Dar maana ndiko anakoishi. Hili nadhani linapaswa kutazamwa kwa umakini zaidi ili kupata uwakilishi halisi zaidi kuliko sasa ambapo wengine wanapata wabunge wa 'kukodi' kutoka Dar!
 
pole sana Dada - yaani natamani nikuone LIVE - next time ukienda kuongea na wanachi wa pale ni PM nikupe company - usiogope mafao ya chakula, usafiri - nitakuwa nayo sitakuwa mzigo kwako

again BLESSINGS - pumzika kidogo Dar halafu jipange upya - "yote yawezekana kwake aaminiye"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…