Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Kwa kipindi cha muda mrefu niliacha kutumia JF almost 1year na baadae kurudi nikawa nimesahau password yangu, changamoto ilikua kubwa zaidi pake ambapo details zangu nilizofungulia account yaani email na password pia kwa wakati huo siku kwenye matumizi navyo.
Kitu pekee nilichokua nacho kichwani ni Username tuu, kwa miaka yote nimekua nikijaribu kulogIn pamoja na kufanya recovery bila mafanikio.
Leo kwa bahati nzuri nimekaa from no where nikaharibu password ikakubali.
Ushauri: Kuna changamoto kubwa sana nadhani patafutwe namna mbadala kwa mtu kuweza kufanya recovery, kuna watu kukaa na simcard zaidi ya miezi sita ni ngumu.
Haya wadau hizi bluetick zinapatikana vip ? Najioja mgeni humu.
Kitu pekee nilichokua nacho kichwani ni Username tuu, kwa miaka yote nimekua nikijaribu kulogIn pamoja na kufanya recovery bila mafanikio.
Leo kwa bahati nzuri nimekaa from no where nikaharibu password ikakubali.
Ushauri: Kuna changamoto kubwa sana nadhani patafutwe namna mbadala kwa mtu kuweza kufanya recovery, kuna watu kukaa na simcard zaidi ya miezi sita ni ngumu.
Haya wadau hizi bluetick zinapatikana vip ? Najioja mgeni humu.