Rupt mkuu we acha tuBipolar disorder?? Ulifilisika? Uliachwa na mme/mke au ulifiwa mkuu wangu maana huo ugonjwa ni kasheshe..
Bora hizi I'd zimeunganishwaBank
Rupt mkuu we acha tu
Aisee sasa hii ni old ID rightBank
Rupt mkuu we acha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hongera sana tutakua tunakwenda na wewe taratibu hapa jukwaani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wahuni sio watu wazuriJana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya
Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...
Dah JF ina visanga
View attachment 2794253Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu. Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife...www.jamiiforums.com
Machizi huwa hawaponi, wanapataga nafuu tuNashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.
Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.
Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Noma sana!Tupe mastori ya Milembe sasa. Ni kweli mnachorewa picha ya mlango na mnataka kupita hapo?