kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
nilikuwa traveller!!!!Halafu akikutafuta kukuambia kapoteza siku zake utasingizia Bipolar?
Mkuu umetisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikuwa traveller!!!!Halafu akikutafuta kukuambia kapoteza siku zake utasingizia Bipolar?
Mkuu umetisha
daah aiseee mmaee khaa kumbe jamaa chiziii watu wakachangia uzi kwa hisiaaa kumbe majangaaJana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya
Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...
Dah JF ina visanga
View attachment 2794253Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu. Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife...www.jamiiforums.com
Jamaa ni chizi kweli.. jana ulikuwa Magufuli Stand ukaibiwa 5m leo umeruhusiwa Mirembe Hospital [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah aiseee mmaee khaa kumbe jamaa chiziii watu wakachangia uzi kwa hisiaaa kumbe majangaa
ahahaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!daah aiseee mmaee khaa kumbe jamaa chiziii watu wakachangia uzi kwa hisiaaa kumbe majangaa
Kameshaaibika na uboya wakeAisee sasa hii ni old ID right
Ukiwa muongo usiwe msahaulifuJana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya
Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...
Dah JF ina visanga
View attachment 2794253Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu. Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife...www.jamiiforums.com
😂😂😂😂😂😂😂😂Hongera sana tutakuwa tunakwenda na wewe taratibu hapa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata ukitoka mirembe nikukumbushe tu kuwa ukiandika upupu humu Jf utakutana na Ban.
Amen, Sifa na utukufu ni Kwa MUNGU Mwenyezi. Karibu ukamtumikie MUNGU katika KWELI na HakiNashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.
Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.
Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Au bado wahitaji dozJana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya
Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...
Dah JF ina visanga
View attachment 2794253Nimeibiwa milioni 5 Stendi ya Mabasi ya Magufuli
Sijui ni karma au ni nini mpaka sasa wala sijui nifanyeje daaah nashindwa sijui nifanyeje wakuu na hapa ninapoandika navuja machozi nipo kwenye gari langu nimepaki nalia mwenyewe wakuu. Nilifika na gari langu dogo aina ya Toyota crown athelete(namba za usajili kapuni) nilikuwa namsindikiza wife...www.jamiiforums.com