Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe

Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe

Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

View attachment 2794253
Kwa hiyo huyu ni muongo. Hana cha kuandika. Anazusha tu hapa yasiyo na ukweli?. Ila awe na kiasi kujizushia tu ukichaa si muda anaweza kuwa kichaa kweli. Hizo pole za watu,wengine wanatoa pole kutoka moyoni kabisa,yaani ile pole ya na yeye kupata pain fulani. Sasa hizo pole za namna hiyo MUNGU anazihesabia fungu lake. Cheza na mambo mengine,hata kama huna kitu,usichezee sehemu za watu aina mbalimbali kama hizi
 
Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

View attachment 2794253
Inawezekana bado hajapona vizuri. Tuendelee kumwombea heri apone kabisa.
 
Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

View attachment 2794253
Nmecheka aisee
 
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
pole sana,ata mimi nilishawai kupata nikawa nachukua dawa amana!! inatisha,unakuwa na hali ya hofu bila sababu,kuna siku nilisafiri nikalala loji moja moro kuna baa hapo mahali,,nikanya bia za kutosha,nikaenda kulala,ghafla nikaamka{nilifikiri niko home manake naishi peke yangu,watoto wapo boading na wife tulishatengana},,sasa nikatoka mpaka nje nikiwa kama nyoka alivo{yaani empty},,,,,ile natoka nje nikastuka mbona wa2 wengi???....ndo akaja mdada wa mapokezi na mlinzi wakanishika mkono wakanirudisha chumbani yule mdada nilimkula!!!!!,,,aliambiwa kaaa nae umlinde inaelekea kalewa sana!!
 
pole sana,ata mimi nilishawai kupata nikawa nachukua dawa amana!! inatisha,unakuwa na hali ya hofu bila sababu,kuna siku nilisafiri nikalala loji moja moro kuna baa hapo mahali,,nikanya bia za kutosha,nikaenda kulala,ghafla nikaamka{nilifikiri niko home manake naishi peke yangu,watoto wapo boading na wife tulishatengana},,sasa nikatoka mpaka nje nikiwa kama nyoka alivo{yaani empty},,,,,ile natoka nje nikastuka mbona wa2 wengi???....ndo akaja mdada wa mapokezi na mlinzi wakanishika mkono wakanirudisha chumbani yule mdada nilimkula!!!!!,,,aliambiwa kaaa nae umlinde inaelekea kalewa sana!!
Wewe lijamaa ni liongo sana [emoji3][emoji3]
 
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Pole mkuu
Kikubwa hapa jukwaani epuka mawingu hoja za mwandamo wa mwezi kisaikolojia.....

Mungu akupe wepesi
 
pole sana,ata mimi nilishawai kupata nikawa nachukua dawa amana!! inatisha,unakuwa na hali ya hofu bila sababu,kuna siku nilisafiri nikalala loji moja moro kuna baa hapo mahali,,nikanya bia za kutosha,nikaenda kulala,ghafla nikaamka{nilifikiri niko home manake naishi peke yangu,watoto wapo boading na wife tulishatengana},,sasa nikatoka mpaka nje nikiwa kama nyoka alivo{yaani empty},,,,,ile natoka nje nikastuka mbona wa2 wengi???....ndo akaja mdada wa mapokezi na mlinzi wakanishika mkono wakanirudisha chumbani yule mdada nilimkula!!!!!,,,aliambiwa kaaa nae umlinde inaelekea kalewa sana!!
Huna lolote. Hiyo ilikuwa mbinu ya kumla mhudumu kimasihara
 
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Kwann wamekurhusu kurud mtaani
 
Jana uliibiwa milioni tano kule stendi ya Magufuli ukiwa mzima wa afya

Leo umeruhusiwa kutoka Mirembe Hospital...

Dah JF ina visanga

View attachment 2794253
Yaani hayo alindika akiwa hospital,ila alihisi yupo Msamvu....nashauri apewe muda wa zaidi hapo hospital
 
Kwa hiyo huyu ni muongo. Hana cha kuandika. Anazusha tu hapa yasiyo na ukweli?. Ila awe na kiasi kujizushia tu ukichaa si muda anaweza kuwa kichaa kweli. Hizo pole za watu,wengine wanatoa pole kutoka moyoni kabisa,yaani ile pole ya na yeye kupata pain fulani. Sasa hizo pole za namna hiyo MUNGU anazihesabia fungu lake. Cheza na mambo mengine,hata kama huna kitu,usichezee sehemu za watu aina mbalimbali kama hizi
Toka lini ugonjwa wa akili ni ukichaa? Hovyo kabisa mjinga mkubwa wwe
 
Nashukuru sana watu waliojitahidi kuwa na mie bega kwa bega wakati napata matibabu ya ugonjwa wa akili pale Hospital ya Magonjwa ya Akili Milembe, nikiwa nasumbuliwa na ugonjwa wa Bipolar Disorder. Ama kweli nimeweza kuhudumiwa vizuri na sasa nipo vizuri na naendelea poa.

Nilikuwa napata mood swing na dalili zingine za hovyo hovyo. Aisee asikuambie mtu magonjwa ya akili sio poa kabisa wakuu, ila bila kufungwa kamba siku ile sijui ingekuwaje! Ila nashukuru kushituka tu nipo Hospitali ya Milembe.

Na pale nimeweza kupewa dawa nyingi tu za kutosha, nashukuru niko poa kabisa.
Waliokuruhusu kutoka wachukuliwe hatua mgonjwa kama wewe ulitakiwa uendelee kuwa chini ya uangalizi, maana Jana tu umeibiwa million3 Mbezi alafu Leo umeruhusiwa kutoka milembe
 
Back
Top Bottom