pole sana,ata mimi nilishawai kupata nikawa nachukua dawa amana!! inatisha,unakuwa na hali ya hofu bila sababu,kuna siku nilisafiri nikalala loji moja moro kuna baa hapo mahali,,nikanya bia za kutosha,nikaenda kulala,ghafla nikaamka{nilifikiri niko home manake naishi peke yangu,watoto wapo boading na wife tulishatengana},,sasa nikatoka mpaka nje nikiwa kama nyoka alivo{yaani empty},,,,,ile natoka nje nikastuka mbona wa2 wengi???....ndo akaja mdada wa mapokezi na mlinzi wakanishika mkono wakanirudisha chumbani yule mdada nilimkula!!!!!,,,aliambiwa kaaa nae umlinde inaelekea kalewa sana!!