Nimeruhusiwa Hospitali ya Milembe

daah aiseee mmaee khaa kumbe jamaa chiziii watu wakachangia uzi kwa hisiaaa kumbe majangaa
 
daah aiseee mmaee khaa kumbe jamaa chiziii watu wakachangia uzi kwa hisiaaa kumbe majangaa
Jamaa ni chizi kweli.. jana ulikuwa Magufuli Stand ukaibiwa 5m leo umeruhusiwa Mirembe Hospital [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
 
Amen, Sifa na utukufu ni Kwa MUNGU Mwenyezi. Karibu ukamtumikie MUNGU katika KWELI na Haki
 
Au bado wahitaji doz
 
Nimeshangaa sana hujamshukuru mama Samia kama mgonjwa mwenzako wa akili Lucas mwashambwa alivyofanya baada ya kupona wazimu mirembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…