Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

We ni mshamba sana kwanin usitumie kondomu, unapima na mtu pale unapotaka kua na malengo nae
 
Na wanaofanya usafi pia ni Watumishi wa spitali.

Kila mtu acheze kivyake kwenye angle zake.

Ukute hapo umesomea Dada wa watu results ambazo sio zake ni zako 🥺🥺🥺🥺😜😜😜afu unakuja kutuhadisia
Ahahahahah hii Sipitali.. Kama shangazi yangu.. Au ndo wewe!!
 
Kwanini uliharakisha kupima? Unataka kumuoa ama kula na kusepa? Mwanzoni ungetumia mpira kisha huko mbeleni ndio mnapima..
Muongo huyu, atakua alikutafunna! Hakunaga kitu kama hicho labda kama "mnara" unakamata network kwa shida
 
Shadow7 Kama UKIMWI haupo, hiki kilichopo sasa ni kitu gani? Deception . Nitagini hiyo sehemu mnapoongelea suala hilo nami nijue hoja yenu.
Kwenye Huo uzi hakusema kuw hakuna Ukimwi, bali hakuna HIV anayesababisha Ukimwi ( upungufu wa kinga mwilini).. akaendelea kuandika ukimwi unasabbishwa na mambo mbali mbali kama matumizi ya antibiotics kwa muda mrefu, ukoesfu wa antioxidant, malnutrition na nk. Na kuwa upungugu wa kinga mwilini hauwezi kumuambukiza mtu mwingine upungufu wako.....

Endelea kuufuatilia huu mjadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…