Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

Nimesababisha depression kwa mtoto wa watu

Mimi kweli mleta Mada hajanifurahisha kabisa, huwezi pima kila msichana kabla ya kutembea naye kwanza ni udhalilishaji hata stimu inakata kwanza
hizi ni hadithi za vijana, sasa akioa si kila mara atampima mke wake akitoka kazini. hata km mke atakuwa Nurse ni lazima kwanza aende akachukuwe majibu kwa mtaalam na NASAHA sio mtaalam wa kupima mikoja Maabara HII NI CHAI jamani
cc hopetumain
Mkuu mimi niliacha kutumia condom kitambo kidogo, sababu sipati stimu kabisa. Kuhusu kupima ni jambo la hiari hivyo huwa nampa taarifa mlengwa mapema sana ili kama hayuko tayari tuhairishe game.
Mimi nadhani kupima mara kwa mara ni njia mojawapo ya kujali afya yako.
 
Nyie ndo mnasababisha upotevu wa bidhaa za afya huko vituoni na kupelekea stock imbalances
Mkuu hivi vipimo mashirika kama ICAP wanagawa bure ndio maana vikaitwa self-test.
 
Ndo maana Samia alisema vijana mnatuangusha .kwa hiyo we ni mtumishi wa afya unakuja kumwaga data za mgonjwa hapa. Ujue unachunguzwa Ili upeoekwe panapokustahili
 
Ndo maana Samia alisema vijana mnatuangusha .kwa hiyo we ni mtumishi wa afya unakuja kumwaga data za mgonjwa hapa. Ujue unachunguzwa Ili upeoekwe panapokustahili
Mkuu mgojwa hutibiwa magettoni au hospitali? Ukisoma vizuri nilichoandika utaelewa.
 
Ungemgonga hata na condom angepata amani kidogo ulivyoacha ndio ulimuumiza zaidi
 
Nimempimia magettoni
Mzee
Habari za jioni wapendwa.

Mimi ni mtumishi wa afya katika moja ya hospitali zilizoko jiji la Makalla. Mwanzoni mwa wiki iliyoisha alikuja mrimbwende mmoja kumuuguza rafiki yake aliyekua kalazwa hospitalini kwetu.

Nilimwelewa sana huyu mlimbwende nikajisemeha huyu mtoto siwezi muacha hivihivi. Nilipambana mpaka nikapata namba, tukaanza wasiliana, nikamtemea mistari akajaa. Tukakubaliana weekend ya jana jpili aje kunisalimia magettoni ( kumchakata). Japo nilimgusia swala la kupima afya zetu akakubali bila ubishi.

Sasa jana mtoto katimba nikamkaribisha vizuri magettoni, story mbili tatu hivi, baadae nikamuuliza tunaweza kucheki afya zetu akakubali nikatoa vipimo na kuanza kumpima yeye kwanza. Majibu yalitoka yenye mkanganyiko, kipimo kilisoma kwenye T na C ikabidi nitulie baada ya muda nikarudia tena na majibu yakaja kama ya kwanza. Nilitumia ORAQUICK HIV SELF-TEST.

Kiukweli stimu za kumgegeda zilikata nikabaki tu nampigisha story. Japo alianza kulia pale nikambembeleza akatulia. Nikamwambia majibu si kwamba una HIV bali unahitaji kipimo cha kutumia damu. Nikamshauri akiwa tayari anaweza kwenda kituo cha afya karibu yake au akaja napofanya kazi tukamcheki zaidi.Alinyong'onyea sana mpaka nikajuta kwann nilimpima.
Aliondoka akiwa mnyonge sana.

Leo nimeongea nae kashindwa kwenda kazini mawazo yamemjaa na hukula toka asubuhi, imebidi jioni hii ninunue msosi na kumpelekea anapoishi. Kwa sasa naondoka narudi magettoni lakini sina amani, amejawa na mawazo sana japo nimemshauri vya kutosha kwamba majibu hayakuonesha kwamba ana HIV lakini imekua ngumu kwake kuelewa. Naogopa asije fanya maamuzu mabaya, mbaya zaidi anaishi mwenyewe.
NIKOSA AMANI JUU YA HUYU BINTI WA WATU.

View attachment 1818882
Mzee wa totozi katika ubora wako
 
Sensitivity ya oraquick iko juu zaid ya 90%. So,uyo manz hata akipima kwa conventional tests kuna chances kubwa ya kuwa positive.
 
Habari za jioni wapendwa.

Mimi ni mtumishi wa afya katika moja ya hospitali zilizoko jiji la Makalla. Mwanzoni mwa wiki iliyoisha alikuja mrimbwende mmoja kumuuguza rafiki yake aliyekua kalazwa hospitalini kwetu.

Nilimwelewa sana huyu mlimbwende nikajisemeha huyu mtoto siwezi muacha hivihivi. Nilipambana mpaka nikapata namba, tukaanza wasiliana, nikamtemea mistari akajaa. Tukakubaliana weekend ya jana jpili aje kunisalimia magettoni ( kumchakata). Japo nilimgusia swala la kupima afya zetu akakubali bila ubishi.

Sasa jana mtoto katimba nikamkaribisha vizuri magettoni, story mbili tatu hivi, baadae nikamuuliza tunaweza kucheki afya zetu akakubali nikatoa vipimo na kuanza kumpima yeye kwanza. Majibu yalitoka yenye mkanganyiko, kipimo kilisoma kwenye T na C ikabidi nitulie baada ya muda nikarudia tena na majibu yakaja kama ya kwanza. Nilitumia ORAQUICK HIV SELF-TEST.

Kiukweli stimu za kumgegeda zilikata nikabaki tu nampigisha story. Japo alianza kulia pale nikambembeleza akatulia. Nikamwambia majibu si kwamba una HIV bali unahitaji kipimo cha kutumia damu. Nikamshauri akiwa tayari anaweza kwenda kituo cha afya karibu yake au akaja napofanya kazi tukamcheki zaidi.Alinyong'onyea sana mpaka nikajuta kwann nilimpima.
Aliondoka akiwa mnyonge sana.

Leo nimeongea nae kashindwa kwenda kazini mawazo yamemjaa na hukula toka asubuhi, imebidi jioni hii ninunue msosi na kumpelekea anapoishi. Kwa sasa naondoka narudi magettoni lakini sina amani, amejawa na mawazo sana japo nimemshauri vya kutosha kwamba majibu hayakuonesha kwamba ana HIV lakini imekua ngumu kwake kuelewa. Naogopa asije fanya maamuzu mabaya, mbaya zaidi anaishi mwenyewe.
NIKOSA AMANI JUU YA HUYU BINTI WA WATU.

View attachment 1818882
Vipimo vyako siviamini
Nipe mawasiliano yake, nimtafute huyo mrembo maana umempa mawazo sana
 
Sijui ni Katika mazingira gani nitapima ukimwi!
Nalog off
 
Back
Top Bottom