MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Ungejipiga selfie wakati wa kujamba ututumie tuuone ushuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha... ni dhambi maana kiingiacho mwilini si najisi ila kitokacho ni najisiii..Nilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nmeachia kiduchu duchu arufu ndo iliyoniumbua.
Ghafla nmeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia
Je nitakuwa nimesamehewa kwel?maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
Hehehe wee si haufi Leo unawazaje kizembe hivyoNilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nmeachia kiduchu duchu arufu ndo iliyoniumbua.
Ghafla nmeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia
Je nitakuwa nimesamehewa kwel?maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], nye, khakhakhakha!!!! Wacha nicheke tuu sina namna kabisa. Nenda kaungame kwa Mungu moja kwa moja, wala usingekutana na kadhia hiyoNilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nimeachia kiduchu duchu harufu ndio iliyoniumbua.
Ghafla nimeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia.
Je nitakuwa nimesamehewa kwel? Maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
Kama hana rinda ?[emoji38]Wakati mwingine jitahidi kujizuia, sio unaachia achia bila mpangilio.
Ana marinda namba DKwani marinda bado ni brand new?
Wanasemaje kwani kwamba stok haijaisha au??Na bado subirini bia zipungue bei
Unaonekana hakuna marinda uko nyumaNilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nimeachia kiduchu duchu harufu ndio iliyoniumbua.
Ghafla nimeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia.
Je nitakuwa nimesamehewa kwel? Maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
Marinda hamnamoWakati mwingine jitahidi kujizuia, sio unaachia achia bila mpangilio.
Nilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nimeachia kiduchu duchu harufu ndio iliyoniumbua.
Ghafla nimeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia.
Je nitakuwa nimesamehewa kwel? Maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
Ila mnaoabudu sanamu, mna kazi sana.Nilibanwa na ushuzi ghafla nikajikuta nimeachia kiduchu duchu harufu ndio iliyoniumbua.
Ghafla nimeskia padri ananimbia kabla sijasema naungama na dhambi nilizosauau basi niitaje dhambi ya kumjambia padri kwenye chumba cha kuungamia.
Je nitakuwa nimesamehewa kwel? Maana ushuzi haukuwa wa kawaida.
Sijambo mkuuHahaha, ni baiolojia ya Mwili tuu.
Ujambo
That avatar ......Sijambo mkuu