Nimesababisha kutosamehewa dhambi nimejamba wakati nikiungama mbele ya padri

Ahahaha... ni dhambi maana kiingiacho mwilini si najisi ila kitokacho ni najisiii..
 
Hehehe wee si haufi Leo unawazaje kizembe hivyo
Jipige Kifuani sema "A black Man doesnt Die in this Movie"
Then unasonga mbele kama Injili
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], nye, khakhakhakha!!!! Wacha nicheke tuu sina namna kabisa. Nenda kaungame kwa Mungu moja kwa moja, wala usingekutana na kadhia hiyo
 
Unaonekana hakuna marinda uko nyuma
 

Yesu ndo anasamehe, sijui kwa nini watu wenye akili timamu mnashindwa kuelewa hili
 
Ila mnaoabudu sanamu, mna kazi sana.
 
Hivi dhambi anayesamehe ni mwanadamu au Mungu??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…