Nimesajili kampuni ya Ujenzi wa Majengo na Barabara

Nimesajili kampuni ya Ujenzi wa Majengo na Barabara

kanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
1,025
Reaction score
494
Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.
 
Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.

hongera sana,hii ni ndoto yangu.emu nimegee misukosuko uliyokutana nayo na changamoto
 
hongera sana,hii ni ndoto yangu.emu nimegee misukosuko uliyokutana nayo na changamoto
Ruhazwe JR mkuu mambo yamechukua muda na gharama pia ,lakini hizo ni changamoto za mafanikio ya mbeleni.
 
Last edited by a moderator:
Kibongobongo hautakubalika ila kibotswana na namibia utarudi tajiri kule wabongo wanakubalika vibaya mno kuliko nchi yoyote halafu pesa yao nje nje
 
Ruhazwe JR mkuu mambo yamechukua muda na gharama pia ,lakini hizo ni changamoto za mafanikio ya mbeleni.

dah!vip mkuu kanga ,kuhusu cost unavyoona kadrio la chini inaweza ghalimu kiasi gani?na ikachukua muda gan?
 
Last edited by a moderator:
Hongera kaka,vp naweza kupata kazi ya uhasibu?
 
Hongera mkuu,Mungu akupe nguvu usonge mbele zaidi.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Hongera mkuu kwa hatua hiyo,
ukiwa unahitaji kupurchase vifaa used heavy duty machine kama excavator, crane,loader etc nitaarifu nikupatie huduma hiyo.
Nami nipo ktk construction industry ila upande wa kuuza used heavy duty machines


Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.
 
Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.

Aisle hongerah sana niko hapo xperienced HR officer.....
 
Hongera sana, hebu tuwekee vigezo vya kufungua kampuni ya aina yako
 
Hongera mkuu kwa hatua hiyo,
ukiwa unahitaji kupurchase vifaa used heavy duty machine kama excavator, crane,loader etc nitaarifu nikupatie huduma hiyo.
Nami nipo ktk construction industry ila upande wa kuuza used heavy duty machines

Mkuu ndio naanza,Naamini hatua kwa hatua tutafikia hatua kubwa,je vifaa vyako used ni kutoka nchi zipi?.Kampuni iko pande zipi hapa nchini ?,ndio muda naanza kuestablish business networks.
 
dah!vip mkuu kanga ,kuhusu cost unavyoona kadrio la chini inaweza ghalimu kiasi gani?na ikachukua muda gan?
Isuue kubwa ipo kwenye kuestablish ofisi ili iweze kukaguliwa na kupewa registration mapema.Ukiweza kukidhi viwango vya kuwa assessed na zonal Manager na kukubaliwa HQ na msajili hana shida kabisa.Gharama ya awali ni pamoja na kuwa gari ya moja kama pICKUP au fuso na kuendelea, hivyo maandalizi ni muhimu.
 
Last edited by a moderator:
Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.

nitaku PM mkuu
 
Kibongobongo hautakubalika ila kibotswana na namibia utarudi tajiri kule wabongo wanakubalika vibaya mno kuliko nchi yoyote halafu pesa yao nje nje

Unachotakiwa sio kwenda Botswana au Namibia
  • Vyeti vya CRB, Leseni, TIN
  • Ofisi ya kueleweka sio ya mfukoni (yaani angalau uwe na Mkataba na mwenye jengo kwa kupanga si chini ya miaka miwili
  • Uwe na Mfanyakazi mmoja mwenye Degree ya Civil au awe Shareholder
  • Mahesabu ya Bishara na A/c hai ya Benki inayotambulika
  • Gari angalau moja la kubebea mizigo au mchanga
  • Mixer Concret, makole , kofia nk
  • Kumbukumbu ya kazi uluzozifanya na kupewa Cheti wakati ulipokuwa madaraja ya chini
Hiyo ni kwa uchache kwa wanaotaka kuingia Class V ndipo utakapokuja kukaguliwa ukitimiza vigezo utasubiri kupitishwa
 
Wadau wakati huu naombeni kuwajulisha kuwa nimefanikiwa kusajili kampuni ya Ujenzi katika majengo na barabara daraja la saba ,lakini ni matarajio yangu ku upgrade kuwa daraja la Tano muda ni mrefu.Nakuombeni ushirikiano ili kuweza kujenga Taifa letu na kuongeza ajira kwa watz.Nategemea kufikia mwanzoni mwa mwezi April mambo yote yatakuwa yamekamilika na kuanza kupiga mzigo.

karibu ktk ulimwengu wa wakandarasi
 
wakuu habarini za kazi, kwanza nakupa hongera mkuu kanga kwa hatua uliyofikia, napenda kutumia thread hii kuuliza na mimi, mimi nahitaji kupata leseni ya ukandarasi wa umeme, nimekuwa nafanya kazi ndogondogo kupitia kampuni yangu,, sasa nimeona nahitaji kupiga hatua mbele zaidi.. mipango yangu kupata contract katika projects kubwa, najiamini uwezo ninao tatizo hiyo leseni, wakuu nitumie taratibu zipi kupata,,
 
Unachotakiwa sio kwenda Botswana au Namibia
  • Vyeti vya CRB, Leseni, TIN
  • Ofisi ya kueleweka sio ya mfukoni (yaani angalau uwe na Mkataba na mwenye jengo kwa kupanga si chini ya miaka miwili
  • Uwe na Mfanyakazi mmoja mwenye Degree ya Civil au awe Shareholder
  • Mahesabu ya Bishara na A/c hai ya Benki inayotambulika
  • Gari angalau moja la kubebea mizigo au mchanga
  • Mixer Concret, makole , kofia nk
  • Kumbukumbu ya kazi uluzozifanya na kupewa Cheti wakati ulipokuwa madaraja ya chini
Hiyo ni kwa uchache kwa wanaotaka kuingia Class V ndipo utakapokuja kukaguliwa ukitimiza vigezo utasubiri kupitishwa

Ubarikiwe sana kiongozi. Though post ni ya zamani, bado iko very useful.
 
Back
Top Bottom