NIMESALITIWA nisaidieni

NIMESALITIWA nisaidieni

huyu akirudi atakuwa na aidii mpya!(huu ni uzoefu niliokuwa nao kwa watu wengi waliojaribu kuwaattack WAPWA,na mabinamu😀)

i can't wait to see the GAY coming back


nipo nawachora tuu.

hasa wewe geoff ntakupotezea.

naweza mpigia simu invisible akufungie maisha humu.
 
NIPIGIE uisikie sauti yangu!.....

@Geoff:tatizo lako una mdomo sana;hata shule hujaenda wewe.
@chrispin:Nimeamini wewe shoga.
@bht:angalia vizuri utaolewa siku si zako:toa ushauri si kuropoka tuu.
@George_Porjie:hapotezewi mtu hapa:kama vipi anza mbele kama hutaki kushauri au kuwa demu wangu;
@Mgombea Ubunge:asante sana;
 
@Geoff:tatizo lako una mdomo sana;hata shule hujaenda wewe.
@chrispin:Nimeamini wewe shoga.
@bht:angalia vizuri utaolewa siku si zako:toa ushauri si kuropoka tuu.
@George_Porjie:hapotezewi mtu hapa:kama vipi anza mbele kama hutaki kushauri au kuwa demu wangu;
@Mgombea Ubunge:asante sana;
piga simu kwa invizibo sasa!......
mimi shule ya nini wakati nina hela ya kukuweka kijumba gesti kubwa tu hapa mjini kwa wiki tattu mfululizo
 
@Geoff:tatizo lako una mdomo sana;hata shule hujaenda wewe.
@chrispin:Nimeamini wewe shoga.
@bht:angalia vizuri utaolewa siku si zako:toa ushauri si kuropoka tuu.
@George_Porjie:hapotezewi mtu hapa:kama vipi anza mbele kama hutaki kushauri au kuwa demu wangu;
@Mgombea Ubunge:asante sana;

lunatic umerudi cafe tena??? nani kakulipia??
 
MZEE PENGINE KWENYE 6x 6 wewe ni KILAZA. SASA NENDA KWA MAMA TERY Unguja au Pemba ukafundishwe kuingiza mchi kwenye kitu na namna ya kutwanga unga uwe LAINI. Unajua usiwe MJINGA WA KULIA hebu jiulize WEWE NADHANI NDIYO TATIZO.

AU MZEE UKISHAPANDA MLIMA MARA MOJA TENA KWA KULAZIMISHA BAAAAAAAAAAAAAAASSSSSSSSSSSIIIIIIIIIIII. HUINUKI TENA, WALALA KA PONO.

WASCHA WEYE

AU NENDA KWA SHEKHE YAHAYA AU KWA PROF. KIFIMBOCHEZA AKAKUTIBU.

AMA SIVYO UTAKIMBIWA MZEE.

SIKU HIZI HUWEZI KUPATA M/MKE AMBAYE HAJAFANYA TENDO HILO.

SASA UKIMCHUKUA AKIWA KWENYE 6 X 6 ANAONA UNAMPAPASA TU HAKUNA HATA MUWASHO

OOHHHOOOOOOOOOOO ANAKUKIMBIA WEWE.
 
Heshma mbele wana JF.

nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.

Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.

Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.

nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .

Home haji tena hii ni week ya tatu,

Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.

Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....

Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.

Kabadli mpaka namba ya simu.

JF NISAIDIENI.
Sasa hapo unaomba msaada tena wakati jibu unalo tayari?
Huyo hata kama uwe bill dirisha nini gate hakufai hata kwa kulumangia.
 

Mkuu kuwa makini naona umeiga kwa mkuu wajamvi asiye ona kuanzia jina umekwepesha kidogo lakini umechukua ka avatar kake kwa kwenye signature haka hapa.

Kwa nn usitafute Avatar ingine au unashindana na Invisible?


Duu fidel kwa kupiga bit tu unatisha
 
huyu aliyeileta hii sredi anatafuta ukorofi tu na mapovu hapa
 
Unatakiwa kuangalia mbele,maisha hayasimami yanasonga mbele. ni wengi wamepata mikasa kama hyo, wameendelea na maisha.
 
Kwanza sababu yako ya kumfuma dem wako wa kwanza haina nguvu,hii ni sababu inayotumiwa sana na womanizer, pili mapenzi sio VX n what soever it just how mnaweza kutimiziana haja zenu (in general)...kufikia hapa nikitumia sense yangu ya spear nalazimika kufikiri una taztizo!...sio kubwa but lipo!
 
Lithread linyewe la zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Hata LD haijazaliwa humu JF.
 
Lithread linyewe la zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Hata LD haijazaliwa humu JF.

duh! Nilikuwa sijaona.
Wengine hata dalili za kuzaliwa humu jf hazikuwepo.
 
Mkono mtupu haurambwi!

Inaonyesha Visible hukuwa na fedha za kulea penzi lenu, ndo maana ameenda kwa mwenye nazo.

Amini usiamini dogo, mapenzi natural yapo, lakini fedha zinaweka MANUKATO katika penzi...!

Kama utakuwa fresh atakutafuta tuu...Wee komaa naKazi yako fresh, utengeneze mahela!

MARKET FORCE is the only engine in the capitalist love! move ahead man
 
we bado demu wa kibongo unamuita G.F?kula mzigo anza,au kama mmeelewana kiaina unaendelea nae uhusiano lakini kimachale hamna kusikilizia,asilimia kubwa madem hapo vicheche unategemea nini?huyo nae ni kimojawapo we unakiomba msamaha kivipi,umepata kazi komaa na kazi na utengeneze maisha hao madem wapo tu na hawana mpango ukiwa na mshiko unachagua mwenyewe unachagua uwe na yupi na saa ngapi aondoke,achana na mawazo ya madem tafuta chapaa kwanza,vinginevyo utaachwa sana.

Mh! Ipo kazi.
 
Back
Top Bottom