Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Geoff*, BabaJ, carmel, Chaku, George_Porjie+, Kaitaba, MduduWashawasha, mtuporimtupori, Shishi, sinani, Visible, Ziondaughter
bwabwa ndani ya nyumba!😀
Lets wait and see!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geoff*, BabaJ, carmel, Chaku, George_Porjie+, Kaitaba, MduduWashawasha, mtuporimtupori, Shishi, sinani, Visible, Ziondaughter
bwabwa ndani ya nyumba!😀
huyu akirudi atakuwa na aidii mpya!(huu ni uzoefu niliokuwa nao kwa watu wengi waliojaribu kuwaattack WAPWA,na mabinamu😀)
i can't wait to see the GAY coming back
NIPIGIE uisikie sauti yangu!.....nipo nawachora tuu.
hasa wewe geoff ntakupotezea.
naweza mpigia simu invisible akufungie maisha humu.
NIPIGIE uisikie sauti yangu!.....
piga simu kwa invizibo sasa!......@Geoff:tatizo lako una mdomo sana;hata shule hujaenda wewe.
@chrispin:Nimeamini wewe shoga.
@bht:angalia vizuri utaolewa siku si zako:toa ushauri si kuropoka tuu.
@George_Porjie:hapotezewi mtu hapa:kama vipi anza mbele kama hutaki kushauri au kuwa demu wangu;
@Mgombea Ubunge:asante sana;
@Geoff:tatizo lako una mdomo sana;hata shule hujaenda wewe.
@chrispin:Nimeamini wewe shoga.
@bht:angalia vizuri utaolewa siku si zako:toa ushauri si kuropoka tuu.
@George_Porjie:hapotezewi mtu hapa:kama vipi anza mbele kama hutaki kushauri au kuwa demu wangu;
@Mgombea Ubunge:asante sana;
Sasa hapo unaomba msaada tena wakati jibu unalo tayari?Heshma mbele wana JF.
nIpo nalia bila kujua nini cha kufanya baada ya girl friend wangu wa pili kuniacha hivi hivi.
Demu wangu wa kwanza mimi ndo nilimwacha baada ya kumfumania live akimegwa na rafiki yanu wa karibu.
Huyu nilifuma msg<sms> za mwanaume na kuna uwezekanao wakawa wameshafanya mapenzi.
nikamuuliza ila ikawa tafrani kwani alingangania tuachane kama ni hivyo na hatimaye kukata mawasiliano nami .
Home haji tena hii ni week ya tatu,
Ila jamaa aliemtumia msg ni handsome na ana inasemekana ana mshiko manake anatembelea VX landcruiser.
Mimi ni ndo nimemaliza na nimebamba mzigo tayari ila hajui....
Sasa nilimwomba msamaha n a haniskiii kama nilikosa inawa yeye ndo kakosa.
Kabadli mpaka namba ya simu.
JF NISAIDIENI.
Mkuu kuwa makini naona umeiga kwa mkuu wajamvi asiye ona kuanzia jina umekwepesha kidogo lakini umechukua ka avatar kake kwa kwenye signature haka hapa.
Kwa nn usitafute Avatar ingine au unashindana na Invisible?
huyu aliyeileta hii sredi anatafuta ukorofi tu na mapovu hapa
huyu aliyeileta hii sredi anatafuta ukorofi tu na mapovu hapa
Lithread linyewe la zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!
Hata LD haijazaliwa humu JF.
duh! Nilikuwa sijaona.
Wengine hata dalili za kuzaliwa humu jf hazikuwepo.
Mkono mtupu haurambwi!
Inaonyesha Visible hukuwa na fedha za kulea penzi lenu, ndo maana ameenda kwa mwenye nazo.
Amini usiamini dogo, mapenzi natural yapo, lakini fedha zinaweka MANUKATO katika penzi...!
Kama utakuwa fresh atakutafuta tuu...Wee komaa naKazi yako fresh, utengeneze mahela!
we bado demu wa kibongo unamuita G.F?kula mzigo anza,au kama mmeelewana kiaina unaendelea nae uhusiano lakini kimachale hamna kusikilizia,asilimia kubwa madem hapo vicheche unategemea nini?huyo nae ni kimojawapo we unakiomba msamaha kivipi,umepata kazi komaa na kazi na utengeneze maisha hao madem wapo tu na hawana mpango ukiwa na mshiko unachagua mwenyewe unachagua uwe na yupi na saa ngapi aondoke,achana na mawazo ya madem tafuta chapaa kwanza,vinginevyo utaachwa sana.