Nimesamehe lakini sitasahau

[emoji13][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2958]
 

Eeehh mkuu

Samahan kuuliza lakini
Why are you so negative about love thing
Kupitia tu threads zako... unaponda sana mahusiano na ndoa
Kuna kitu ushapitia au
Weren’t your parents married?????
 
Mkuu maisha Yana mapito yake na changamoto yake pia mungu hutupitisha juu ya haya ili kutufanya tuwe imara kw ajiri ya kesho pia siyo kwamba mi mbaya au Sina pesa ninazo ila so za Kama zenu maana kila mwana jf no tajiri maisha mazuri .asante
 
Maisha ya ajabu sana!! Mi hawa wanawake nawakimbia pamoja na kunipenda mnoo!!!

Daa unafos uitwe baba[emoji849]

Sie wengine mbegu zetu zikitia mguu tu kyuman!!!!yai lajileta:::

N.B
Nina ushuhuda na wanawake wawil niliowatia mimba ...na wote kwa bahati wanaishi na midume mingine!!!!!

Lakin lazima niwale wote kila iitwao leo!!!

Huyu mmoja huwa ananitukana kwenye simu na mtandaon lakin sometime akinimiss anaijia matumiz ya mtoto na shoo ya kibabe juu:[emoji2958]
 
Nashukiru mkuu
 
Nakazia mkuu mi kuna mwanamke amezalishwa watoto wawili na njemba ipo mkoa x hyo moja, mbili demu anamsela ambae analipa ada ya mtoto mmoja Mimi sikujua alinificha nikamtokea chakwanza nilichofanya nikatumia mbinu za kivita nikampiga pampu nikamsikilizia akaanza kunidai ada ya mtoto mwingine nikamchana tu kuwa nitakusaidia wewe lakini watoto wako wanababa yao, akaleta ile kuzila nikamla kichwa block kila tundu na ndo basi tena mama Jen baibai
 
Mkuu maisha Yana mapito yake na changamoto yake pia mungu hutupitisha juu ya haya ili kutufanya tuwe imara kw ajiri ya kesho pia siyo kwamba mi mbaya au Sina pesa ninazo ila so za Kama zenu maana kila mwana jf no tajiri maisha mazuri .asante
Wanawake wa jf unawapa dhamana? Mchungaji hivi inaingia akilini kweli? Tupo hapa kukupa Yale yanayotuongoza sisi wanaume kuwa mwanaume ni jasiri sasa wewe ujasiri unamwanamke hyo ni hatar waheed
 
Nakazia
 
Hawa viumbe ni wepesi sana km unyoya km una msimamo. Ni kama watoto wadogo. Kama hauna msimamo utaona viumbe wa ajabu sana
Ningekuwa mm ningemwambia hivi
Huyo mtoto ana baba yake na hajafa. Iwe mwanzo na mwisho kunipigia simu au kunitumia meseji.
Anawekwa kwenye blacklist.
Mchana mwema mkuu
 
UBAYA ,UULIPE KWA UBAYA MARA MBILI.


WEMA ,UULIPE KWA WEMA MARA MBILI.


VIPI WEWE JAMAA???


HAPA DUNIANI MSALITI HASAMEHEWI NA HAPEWI NAFASI YA PILI.

UMEFANIKIWA KUMUACHA, ACHAAAA ,MWAMBIE AKOME KABISA
Khee. Inatosha ndugu.. kama kusikia na asikie. Akapime DNA ili awe huru

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
1. Kwanini shetani alifukuzwa mbinguni?
2. Kwann Mungu hakumsamehe shetani?
Ukijiuliza hivyo. Unatakiwa uwe mbali na huyo mwanamke. Huyo mtoto ana baba yake.
Mwambie huyo mwanamke, siku alipokutext anaenda kulala kwa mwanaume. Ampigie simu amlipie ada.
Huyo mtoto hatakujua, hawezi kukumbuka na huwezi kumuona tena.
Mi ni mchungaji
 
Hii sio busara bali ni ujinga,kweli unafungua thread kwa kuomba ushauri kwenye jambo la kipuuzi kama hili?
#shame
Kwani we unaonaje
Kwani nimesemaje bado ninaye au sipo nae?
 
Kweli Wanaume hakuna kabisa miaka hii....hivi huwa mnakosea wapi nyie maboya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…