Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

Nimeshaanza kuwasaidia Big Bullets FC ya Malawi ili Waifunge Simba SC ya Barbara na Matola tarehe 10 Sept 2022

Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!

Hongera
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
Unaota ww ndoto ya mchana
 
Minocycline nakupongeza kwa msaada wako wa ulozi kwa Big Bullets.
Kumbe Wewe jamaa ni noma kwa Nongwa zisizo na mafanikio.
 
Nyenyenye
IMG-20220923-WA0008.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Punguza ujuaji
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!

Nadhani uligonga mkenge wa jogoo! Msaada wako haukufua dafu!
 
Kakimbia uzi wake
Leo hii akitumia ile ID yake iliyo zoeleka! Anajifanya eti kuisifia tena timu yake, na pia CEO wake aliyekuwa akimnanga kila aina ya matusi!

Hakika huyu jamaa kweli ni Popoma.
 
Siri ulizotoa ni zipi? Mbona haukuwa msaada huko. Vipi maoni yako baada ya Mgunda kufanya vizuri?
Kingine jifunze kudhania ukiwa sehemu we ni mtu muhimu saanaaa na kutaka maoni yako yakubaliwe kila ukisema😆😆😆
 
Na sotoishia hapo niliahidi na sasa natekeleza hata Mechi ya Marudiano Wiki ijayo Dar es Salaam pia nitawasaidia kwa kutoa Siri Kubwa za Kimchezo za Simba SC na mpaka Uchawi Wao wanaoutumia.

Na nikiona bado Kocha Msaidizi Matola hajatimuliwa Simba SC na Barbara nae hajatuachia Simba SC naahidi Kuwasaidia Yanga SC na kutoa Siri za Ndani za Simba SC kuelekea Derby ya tarehe 23 Oktoba, 2022 ambapo si tu kwamba Simba SC itafungwa bali itafungwa Magoli mengi kuanzia 7 mpaka 9 na Yanga SC.

Na kama kuna Wendawazimu mnadhani Simba SC hii mbovu ya CEO Barbara Gonzalez na Kocha Msaidizi Matola itatoboa CAFCL na katika NBC Premier League basi mnajidanganya ila kile ninachokijua tu ni kwamba Simba SC inaenda Kutolewa raundi hii hii ya Kwanza na Wamalawi na huku katika Ligi Kuu ukweli ni kwamba Yanga SC watakuwa Mabingwa tena wakifuatiwa na Azam FC, kisha Singida Big Stars FC na Mtibwa Sugar FC na Simba SC itashika Nafasi ya Tano ( 5 ) au ya Tisa ( 9 ) katika Msimamo Ujao wa Ligi Kuu ya NBC.

Ubaya Ubayani tu Kudadadeki....!!!!!!!
Wewe unapojiita Minocline unakuwa Uto damu damu!! Ukijiita Gentamycine unakuwa makolo damu damu na ni mtu yule yule na mwandiko huo huo tukueleweje???
 
Back
Top Bottom