City Rider
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 402
- 1,212
Nimeshajaribu kufanya biashara nyingi sana nikafeli sana nilikata tamaa nilipofeli lakini baada ya muda mchache nilitamani tena kufanya biashara nkaingia nikafeli sana nikarudia .
Nimejifunza nini?
If you do nothing you can not fail, if you can not fail you can not achieve anything.
Sasa hivi ninafanya biashara ambayo napata wateja wengi sana. Haya ni matokeo ya kufail na kuwa tayari kuface rejections.
Nampango wa kuacha kazi bosi hataki niache wala nimpe letter ya resignation nasubiri dili moja kubwa likitiki namtuma boda boda apeleke resignation letter.
DO NOT UNDER ESTIMATE FAILURE! FAIL FAIL AND FAIL AGAIN mimi sio rich ila nimeshaiona njia ya kupita kuwa Rich.
Huu ni ushuhuda nautoa leo wafanyabiashara wataelewa.
Nimejifunza nini?
If you do nothing you can not fail, if you can not fail you can not achieve anything.
Sasa hivi ninafanya biashara ambayo napata wateja wengi sana. Haya ni matokeo ya kufail na kuwa tayari kuface rejections.
Nampango wa kuacha kazi bosi hataki niache wala nimpe letter ya resignation nasubiri dili moja kubwa likitiki namtuma boda boda apeleke resignation letter.
DO NOT UNDER ESTIMATE FAILURE! FAIL FAIL AND FAIL AGAIN mimi sio rich ila nimeshaiona njia ya kupita kuwa Rich.
Huu ni ushuhuda nautoa leo wafanyabiashara wataelewa.