Nimeshangaa eti vikao vya Bunge vinaendelea ilihali hayupo anayejali

Nimeshangaa eti vikao vya Bunge vinaendelea ilihali hayupo anayejali

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Bunge la "WAMBEYA"
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Hata Mimi ndio nasikia kutoka kwako kama Bunge linaendelea 🙄
Duh 🙄 !
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Aah actually bunge ..lipo ..nachodhani n kwamba ..wabubge naona Wana wasilisha hoja vizur tu .sema majibu ambayo mawaziri mbali mbali wanatoa actually hayaridhishi ..sio ya fact Bali n ya kisiasa zaidi
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Nadhan majibu ya mawaziri ..ndo hayakuridhisha ..buh wabunge ..naona ..wako sawa kuuliza maswali na ..kuwakilisha wananchi
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Kila mbunge kabla ya kusema chochote ni ada kwanza kumwagia sifa lukuki kwa Rais Samia, baada ya hapo wengine hawana lolote la kuchangia😡
 
Kama kuna chembe ya utu imebaki ndani ya chura kiziwi, ajitahidi asichakachue kura za wabunge kama alivyofanya Jiwe.

Aibe hizo za juu kama wanavyofanya siku zote ila kwenye ubunge aruhusu haki itendeke.
 
Back
Top Bottom