Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?