Nimeshangaa eti vikao vya Bunge vinaendelea ilihali hayupo anayejali

Nimeshangaa eti vikao vya Bunge vinaendelea ilihali hayupo anayejali

Yule Dada Roho Mbaya , Sura Mbaya.
Kamwili ka ovyo
images.jpeg
 
Yaani hata pale Shule ya Msingi Masanga sidhani kama wanatambua hilo.
😂🤣 Umenikumbusha Shule yangu ya Matukutu pale Karibu na Zahanati ya Mwaulandi kwa Dokta Lazaro RIP
Baada ya Matukutu Mimi nilisoma Shule ya Ndoleleji !

Duh ! Nimekumbuka mbali sana ! 🙏🙏
🤣🤣 life was fantastic those days 🙏🙏
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Mvuto kwani maigizo yale?
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Kwan hilo ni Bunge au vikao vya Sisiemu
 
Nilitarajia bunge liwepo mwezi wa 11 sasa sijui imekuwaje linakuwepo sasaivi au kuna dharura au wamekubaliana kutupiga kwa njia hiyo na mwezi wa 11 watakuwepo tena.
 
Kinachoendelea ni mkutano au kikao kama cha kijiwe cha kahawa, ubanda au kilabu cha pombe ya kienyeji.
 
😂🤣 Umenikumbusha Shule yangu ya Matukutu pale Karibu na Zahanati ya Mwaulandi kwa Dokta Lazaro RIP
Baada ya Matukutu Mimi nilisoma Shule ya Ndoleleji !

Duh ! Nimekumbuka mbali sana ! 🙏🙏
🤣🤣 life was fantastic those days 🙏🙏
Ngw'abhulandi S/M hiyo, hahaha!

Ndoleleji Mission kwa kina Mwalimu George na diwani wao wa kudumu bwana Mohamed.

Hivi kale ka George Edward kapo? Ka mwanasiasa pale Ndoleleji😆.

Sisi ndiyo wale tulikuwa wasela wa vijiji vile kuanzia Lagana kwa Nyangindu kule, Ngw'amadulu na hata ukivuka mto Tungu uje Sanjo ile hadi Ndoleleji humo.

Usisahau Idisa-nhambo, Ngw'alata, Masanga, Ngw'angh'alanga, Isemelo hadi Ngw'ambiti hahaha!
 
Ngw'abhulandi S/M hiyo, hahaha!

Ndoleleji Mission kwa kina Mwalimu George na diwani wao wa kudumu bwana Mohamed.

Hivi kale ka George Edward kapo? Ka mwanasiasa 😆.
Duh 🙄 😂😂
Hiyo ilikuwa long time kweli kweli !
😂
1963 Ndoleleji Maryknoll Fathers Middle School , Huo mwaka nilianza kusoma darasa la IV hapo ! Mwalimu wa darasa alikuwa ni Mwalimu Paulo ( RIP )
 
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.

Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.

Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Bunge la nchi gani duniani Lina mvuto? Wewe unahisi mvuto ni pale watu wajinga kama Lissu wanaporopokaropoka Bungeni? Kwa taarifa yako Bunge halihitaji kuwa na mvuto, bali weledi wa Kazi zake.
 
Back
Top Bottom