Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Kamwili ka ovyoYule Dada Roho Mbaya , Sura Mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamwili ka ovyoYule Dada Roho Mbaya , Sura Mbaya.
Amekauka kau kwa sababu ya roho mbayaYule Dada Roho Mbaya , Sura Mbaya.
😂🤣 Umenikumbusha Shule yangu ya Matukutu pale Karibu na Zahanati ya Mwaulandi kwa Dokta Lazaro RIPYaani hata pale Shule ya Msingi Masanga sidhani kama wanatambua hilo.
Mvuto kwani maigizo yale?Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Tanganyika iko wapi?Wananchi wako 44 jamaa wanahondomola kodi za walipakodi....Elimu inahitajika sana kwenye hii Tanganyika...
Bora maigizo hayana maudhiMvuto kwani maigizo yale?
Kwan hilo ni Bunge au vikao vya SisiemuMchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Unataka wote wawe na mawazo kama yako?Bora maigizo hayana maudhi
Unataka wote wawe na mawazo kama yako?Bora maigizo hayana maudhi
Walau robo 3 wabebe mawazo ya watanzaniaUnataka wote wawe na mawazo kama yako?
Kwani Mtanzania uko peke yako?Walau robo 3 wabebe mawazo ya watanzania
Ngw'abhulandi S/M hiyo, hahaha!😂🤣 Umenikumbusha Shule yangu ya Matukutu pale Karibu na Zahanati ya Mwaulandi kwa Dokta Lazaro RIP
Baada ya Matukutu Mimi nilisoma Shule ya Ndoleleji !
Duh ! Nimekumbuka mbali sana ! 🙏🙏
🤣🤣 life was fantastic those days 🙏🙏
Duh 🙄 😂😂Ngw'abhulandi S/M hiyo, hahaha!
Ndoleleji Mission kwa kina Mwalimu George na diwani wao wa kudumu bwana Mohamed.
Hivi kale ka George Edward kapo? Ka mwanasiasa 😆.
Hahahahaha, watu wanakula posho yao vzr tuHivi kumbe tuna bunge
Ova
Bunge la nchi gani duniani Lina mvuto? Wewe unahisi mvuto ni pale watu wajinga kama Lissu wanaporopokaropoka Bungeni? Kwa taarifa yako Bunge halihitaji kuwa na mvuto, bali weledi wa Kazi zake.Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?