Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Bunge la "WAMBEYA"Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Bunge la kipumbavu sanaMkuu bunge lipo linaendelea na ni Zuri tu....likiongozwa na mwanamama makini kabisa,..
Hata Mimi ndio nasikia kutoka kwako kama Bunge linaendelea 🙄Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Aah actually bunge ..lipo ..nachodhani n kwamba ..wabubge naona Wana wasilisha hoja vizur tu .sema majibu ambayo mawaziri mbali mbali wanatoa actually hayaridhishi ..sio ya fact Bali n ya kisiasa zaidiMchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Weka na namba yako ya simu...Mkuu bunge lipo linaendelea na ni Zuri tu....likiongozwa na mwanamama makini kabisa,..
Nisaidie kushangaa ndugu yangu!Hivi kumbe tuna bunge
Ova
Yaani hata pale Shule ya Msingi Masanga sidhani kama wanatambua hilo.Hata Mimi ndio nasikia kutoka kwako kama Bunge linaendelea 🙄
Duh 🙄 !
Nadhan majibu ya mawaziri ..ndo hayakuridhisha ..buh wabunge ..naona ..wako sawa kuuliza maswali na ..kuwakilisha wananchiMchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?
Kila mbunge kabla ya kusema chochote ni ada kwanza kumwagia sifa lukuki kwa Rais Samia, baada ya hapo wengine hawana lolote la kuchangia😡Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati mojawapo ya Bunge kuhusu sintofahamu ihusuyo shamba la mwekezaji kule Rukwa.
Wallah kwanza sikufahamu kama vikao vya Bunge vinaendelea.
Pili nimejiuliza kwa nini Bunge la sasa halina mvuto kabisa!?