Hivi boss lady all the way to tz kutangaza pampaz, kweli boss lady?? Aisee tukinao anapenda kiki, ndio maana waganda hawana time nae.
Boss led tungeskia yupo UK / Us anasain mikataba mikubwa, huko ndo hawezi kanyaga alipewa ban ya maisha yaan vurugu tupu.
Watu wa kutangaza pampas inabidi wawe hata akina
Ebitoke ila sio bosled zari[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]