Nimeshangaa kusikia Polisi wanadukua Account zetu za Mitandao ya Kijamii

Nimeshangaa kusikia Polisi wanadukua Account zetu za Mitandao ya Kijamii

Bilionea unakosa ulinzi binafsi,Kama wa bilionea mwenzie mooh🤣🤣
Bilionea unashindwa kukodi chopa ya fasta ikupeleke huko unakoona ni salama,instead unakimbia na boda,
Bilionea Mo Ulinzi binafsi ulimsaidia?

Ndio maana jamaa amewa wahi ili ikitojea jambo dunia ijue.

Shami anajua hawawezi hao jamaa lakini angalau amejihani tu
 
Usuluhishi au Mahakamani?

Mtu anapokataa kulipa na huku jeshi linasema linafanya uchunguzi kwanini linahitimisha tu alipe alipe alipe.......
Kesi ya madai inaenda mahakamani kama kamati ya usuluhishi imeshindwa. Mwenyekiti wa mtaa, mjumbe au balozi, au mezani kwa polisi. Hawa walienda pale na haki imepatikana. Huko mahakamani shamy hakuweza kwenda. Ndio maana amelipa.
 
3:10 kwenye video Muliro anasema tungekuwa tunamhitaji kwa mabaya "asingejidhamini wala asingetoka polisi", Hapo mwandishi mwenye akili angeng'ata.

Waandishi wakibongo hawawezi kuuliza maswali au kuchambua. Infact Muliro kwa kauli hyo amekiri kwamba kumbe huwa sometimes wanawashikilia watu kwa nia ovu na kutowaachilia, sentensi hiyo ni Proof
 
3:10 kwenye video Muliro anasema tungekuwa tunamhitaji kwa mabaya "asingejidhamini wala asingetoka polisi"..
Hapo mwandishi mwenye akili angeng'ata..
Waandishi wakibongo hawawez kuuliza maswali au kuchambua.Infact Muliro kwa kauli hyo amekiri kwamba kumbe huwa sometimes wanawashikilia watu kwa nia ovu na kutowaachilia,sentensi hiyo ni Proof
Kumbe kuna wengine wanawashika kwa Ubaya.
 
Ukwelu ni kwamba Polisi na TISS wamekuwa wakifanya sana kazi hii haramu ya kuingilia mawasiliano ya watu (kudukua) isivyo halali. Hili halifichiki wala halipingiki. Sitaki kuelezea mambo mengi kuhusu suala hili, itoshe tu kusema kwamba waachane na utaratibu huu usiofaa.
 
Mimi katika kuishi kwangu nilijua Waharifu ndo wanadukua Mitandao ya Kijamii kama Facebook, Instagram, twitter, Whatsapp nk, baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar Samweli Shammy kupasua jibu na kuweka wazi kinagaubaka jinsi alivyo dukuliwa nikashangaa sana.

Nimeshangaa kusikia Polisi wanadukua Account zetu za Mitandao ya Kijamii. Kwamba Mwanasiasa anaweza kumtuma Polisi adukue simu yako na Kufuta Ushahidi. Polisi hao hao wanaenda eti Benk wanachukua fedha za mtu kwa amri ya Mwanasiasa. Nimeshangaa sana.


Hata hivyo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amekanusha kata kata kwamba hajatumwa na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa.
View attachment 2932416
Polisi wa division IV and division 0 kwenye matokeo ya kidatu cha nne wana uwezo huo ???
 
Sio jambo la kushangaza wanaweza fanya mambo ya ajabu kuliko hilo
 
Back
Top Bottom