Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Bilionea Mo Ulinzi binafsi ulimsaidia?Bilionea unakosa ulinzi binafsi,Kama wa bilionea mwenzie mooh🤣🤣
Bilionea unashindwa kukodi chopa ya fasta ikupeleke huko unakoona ni salama,instead unakimbia na boda,
Wakienda mahakamani mda mwingine mdaiwa hugeuka kuwa mdaiUsuluhishi au Mahakamani?
Mtu anapokataa kulipa na huku jeshi linasema linafanya uchunguzi kwanini linahitimisha tu alipe alipe alipe.......
Kesi ya madai inaenda mahakamani kama kamati ya usuluhishi imeshindwa. Mwenyekiti wa mtaa, mjumbe au balozi, au mezani kwa polisi. Hawa walienda pale na haki imepatikana. Huko mahakamani shamy hakuweza kwenda. Ndio maana amelipa.Usuluhishi au Mahakamani?
Mtu anapokataa kulipa na huku jeshi linasema linafanya uchunguzi kwanini linahitimisha tu alipe alipe alipe.......
Hata mimi nimeshangaa sana inakuwaje hawa polisi wajihusishe Na mambo ya madai ya biashara? Suala la biashara mahakama zipo wadai wampeleke mdaiwa wao huko...Tangu lini polisi anasimamia Mtu kulipa madeni yake?
Pisi nyingi ni kuanzia ngapi mkuundugu?
Hamza alikuwa Fala tu no matter what😄😄Kuna watu walimuona Hamza ni fala.
Kumbe kuna wengine wanawashika kwa Ubaya.3:10 kwenye video Muliro anasema tungekuwa tunamhitaji kwa mabaya "asingejidhamini wala asingetoka polisi"..
Hapo mwandishi mwenye akili angeng'ata..
Waandishi wakibongo hawawez kuuliza maswali au kuchambua.Infact Muliro kwa kauli hyo amekiri kwamba kumbe huwa sometimes wanawashikilia watu kwa nia ovu na kutowaachilia,sentensi hiyo ni Proof
Una maana gani ?Nakushauri tumia simu ya touching tu kama huwezi mtiti
Polisi wa division IV and division 0 kwenye matokeo ya kidatu cha nne wana uwezo huo ???Mimi katika kuishi kwangu nilijua Waharifu ndo wanadukua Mitandao ya Kijamii kama Facebook, Instagram, twitter, Whatsapp nk, baada ya Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar Samweli Shammy kupasua jibu na kuweka wazi kinagaubaka jinsi alivyo dukuliwa nikashangaa sana.
Nimeshangaa kusikia Polisi wanadukua Account zetu za Mitandao ya Kijamii. Kwamba Mwanasiasa anaweza kumtuma Polisi adukue simu yako na Kufuta Ushahidi. Polisi hao hao wanaenda eti Benk wanachukua fedha za mtu kwa amri ya Mwanasiasa. Nimeshangaa sana.
Mfanyabiashara bilionea Dar es Salaam, adai kutishiwa maisha, akimbia kwa pikipiki kutoroka asiuawe hadi Arusha
Mfanyabiashara maarufu wa Magari Jijini Dar es Salaam, Samweli Shami maarufu Bilionea Shami, amedai kutishiwa maisha na watu aliodai ni vigogo wa polisi jijini humo na kulazimika kuyakimbia makazi yake kutoka dar akitumia usafiri wa pikipiki na kukimbilia jijini Arusha. Akiongea na vyombo vya...www.jamiiforums.com
Hata hivyo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amekanusha kata kata kwamba hajatumwa na Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa.
View attachment 2932416
🤔💭🙄🔭Usuluhishi au Mahakamani?
Mtu anapokataa kulipa na huku jeshi linasema linafanya uchunguzi kwanini linahitimisha tu alipe alipe alipe.......