Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Akiwa mkoani Mara Mgombea wa CCM Dkt John Magufuli kwenye uzinduzi wa kampeni katika mkoa huo Mgombea amesema kuwa "naskia kuna mtu anasema sijaongeza mshahara watumishi wa umma ,Watumishi wa umma nimewaongezea mshahara kimya kimya "
Aliendelea na kusema kuwa ukipandisha madaraja huongezi mishahara ,ukipunguza PAYE sio kuongeza mishahara.
Ndugu zangu kupandishwa daraja ni haki ya mfanyakazi/mtumishi wa umma na automatic mtu akipanda daraja (scale ya mshahara inaongezeka pia) kwanza wewe hautakuwa wa kwanza kuingia daraja hilo..swali la kujiuliza je waliokutwa kwenye daraja hilo waliongezewa mshahara.
Je, kupunguza kodi kwenye mshahara wa mfanyakazi ni kuongeza mshahara ,hiyo ni sawa na mwezi avunje penseli kutoka mfuko wa kulia na kipande kingine aweke mfuko wa kushoto halafu aseme nina penseli mbili.
Magufuli tafadhali usituchonganishe na ndugu zetu wanaotutegemea. Kuna muda unajisahau unasema mkinachagua tena nitaongeoza mishahara muda huo huo unasema umeongeza kimya kimya. Watumishi wa umma unaosema umewaongezea mshahara wanafanya kazi nchi gani?
Wewe si ulisema unajenga mastandard gauge na madaraja na unanunua mandege tupande.
Wewe si ulisema tufanye kazi tuache tamaa ya kuongezewa mishahara.
Wewe si ulisema unafanya uhakiki wa Watumishi hewa.
Wewe si ulisema hautoongeza mshahara hauna hela ya kuchezea.
Mh. omba kura achana na propaganda zako za kusema ukipandisha mshahara kwa kutangaza kutatokea inflation hoja za kitoto..enzi za JK alikuwa anapandisha mishahara mbona vitu havikuongezeka bei...kwan hujui policy za ku-control inflation.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Aliendelea na kusema kuwa ukipandisha madaraja huongezi mishahara ,ukipunguza PAYE sio kuongeza mishahara.
Ndugu zangu kupandishwa daraja ni haki ya mfanyakazi/mtumishi wa umma na automatic mtu akipanda daraja (scale ya mshahara inaongezeka pia) kwanza wewe hautakuwa wa kwanza kuingia daraja hilo..swali la kujiuliza je waliokutwa kwenye daraja hilo waliongezewa mshahara.
Je, kupunguza kodi kwenye mshahara wa mfanyakazi ni kuongeza mshahara ,hiyo ni sawa na mwezi avunje penseli kutoka mfuko wa kulia na kipande kingine aweke mfuko wa kushoto halafu aseme nina penseli mbili.
Magufuli tafadhali usituchonganishe na ndugu zetu wanaotutegemea. Kuna muda unajisahau unasema mkinachagua tena nitaongeoza mishahara muda huo huo unasema umeongeza kimya kimya. Watumishi wa umma unaosema umewaongezea mshahara wanafanya kazi nchi gani?
Wewe si ulisema unajenga mastandard gauge na madaraja na unanunua mandege tupande.
Wewe si ulisema tufanye kazi tuache tamaa ya kuongezewa mishahara.
Wewe si ulisema unafanya uhakiki wa Watumishi hewa.
Wewe si ulisema hautoongeza mshahara hauna hela ya kuchezea.
Mh. omba kura achana na propaganda zako za kusema ukipandisha mshahara kwa kutangaza kutatokea inflation hoja za kitoto..enzi za JK alikuwa anapandisha mishahara mbona vitu havikuongezeka bei...kwan hujui policy za ku-control inflation.
Kila mtu ashinde mechi zake.