Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 185
- 165
Lord have mercy 🤐Akiwa mkoani Mara Mgombea wa CCM Dkt John Magufuli kwenye uzinduzi wa kampeni katika mkoa huo Mgombea amesema kuwa "naskia kuna mtu anasema sijaongeza mshahara watumishi wa umma ,Watumishi wa umma nimewaongezea mshahara kimya kimya "
Aliendelea na kusema kuwa ukipandisha madaraja huongezi mishahara ,ukipunguza PAYE sio kuongeza mishahara...