Nimeshangaa sana Bingwa na Makamu wao wala hawana Mbwembwe, ila wa Nyuma yao ndiyo wana Mbwembwe zinazotia Shaka mbeleni

Nimeshangaa sana Bingwa na Makamu wao wala hawana Mbwembwe, ila wa Nyuma yao ndiyo wana Mbwembwe zinazotia Shaka mbeleni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Mwanafunzi aliyekuwa wa Kwanza pamoja na Mwenzake wa Pili katika Darasa Wao wala hawana Shobo na Mbwembwe ila yule aliyeshika Nafasi ya Tatu ndiyo anasumbua Darasani kiasi kwamba Walimu wanajiuliza hivi ingetoa Yeye ndiyo kawa wa Kwanza au wa Pili si angeshangilia Shule nzima na pengine hata Kuukweka ( Kunya ) kabisa hadharani?

Nadhani tungefanya Maandalizi ya kimya na taratibu ingependeza sana kwa Darasa jipya la Mwaka mpya Kitaaluma.
 
Yaani Mwanafunzi aliyekuwa wa Kwanza pamoja na Mwenzake wa Pili katika Darasa Wao wala hawana Shobo na Mbwembwe ila yule aliyeshika Nafasi ya Tatu ndiyo anasumbua Darasani kiasi kwamba Walimu wanajiuliza hivi ingetoa Yeye ndiyo kawa wa Kwanza au wa Pili si angeshangilia Shule nzima na pengine hata Kuukweka ( Kunya ) kabisa hadharani?

Nadhani tungefanya Maandalizi ya kimya na taratibu ingependeza sana kwa Darasa jipya la Mwaka mpya Kitaaluma.
Inawezakana uwezo wake ilikuwa ni kushika nafasi ya 9 lakini kawa wa 3.
 
Yaani Mwanafunzi aliyekuwa wa Kwanza pamoja na Mwenzake wa Pili katika Darasa Wao wala hawana Shobo na Mbwembwe ila yule aliyeshika Nafasi ya Tatu ndiyo anasumbua Darasani kiasi kwamba Walimu wanajiuliza hivi ingetoa Yeye ndiyo kawa wa Kwanza au wa Pili si angeshangilia Shule nzima na pengine hata Kuukweka ( Kunya ) kabisa hadharani?

Nadhani tungefanya Maandalizi ya kimya na taratibu ingependeza sana kwa Darasa jipya la Mwaka mpya Kitaaluma.
Ukweli mtupu.
 
Ila naona huyu Mwanafunzi wa tatu hafurahii nafasi yake, ila tu anaonesha jitahadi za kutaka kushika nafazi za juu msimu ujao.

Jitihada hizi zinaoneshwa ili kurudisha imani ya wale waliomkatia tamaa, na kudumisha imani kwa wale waliomwamini.

Hivyo basi binafsi naona ulazima wa kufanya hivyo, tofauti na wengine hasa huyu wa kwanza ambaye tayari ameaminika.
 
Yaani Mwanafunzi aliyekuwa wa Kwanza pamoja na Mwenzake wa Pili katika Darasa Wao wala hawana Shobo na Mbwembwe ila yule aliyeshika Nafasi ya Tatu ndiyo anasumbua Darasani kiasi kwamba Walimu wanajiuliza hivi ingetoa Yeye ndiyo kawa wa Kwanza au wa Pili si angeshangilia Shule nzima na pengine hata Kuukweka ( Kunya ) kabisa hadharani?

Nadhani tungefanya Maandalizi ya kimya na taratibu ingependeza sana kwa Darasa jipya la Mwaka mpya Kitaaluma.
Tutaanza kumpima kwanza kwenye mtihani wa mock TRH 8, kabla ajaenda kwenye mitihani ya taifa ndio tutaona yaliyomo Kama yamo!
 
Back
Top Bottom