Nimeshangaa sana binti wa miaka 16 kuniambia haya!

Nimeshangaa sana binti wa miaka 16 kuniambia haya!

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Siku ya leo nimepigwa na butwaa sana baada ya binti mwenye umri wa miaka 16 kuniambia kuwa

"NYIE WANAUME NI WAONGO"
"MNAPENDA TU KUTUCHEZEA WANAWAKE"

"MIMI MAISHA YANGU YOTE SITAKUWA NA MWANAUME TENA".

Sasa nikabaki tu najichekea mwenyewe,
sasa wewe una miaka 16, halafu unasema hutakuwa na mwaume maisha yako yote?
Hiyo nini maana yake wakuu?
 
Siku ya leo nimepigwa na butwaa sana baada ya binti mwenye umri wa miaka 16 kuniambia kuwa

"NYIE WANAUME NI WAONGO"
"MNAPENDA TU KUTUCHEZEA WANAWAKE"

"MIMI MAISHA YANGU YOTE SITAKUWA NA MWANAUME TENA".

Sasa nikabaki tu najichekea mwenyewe,
sasa wewe una miaka 16, halafu unasema hutakuwa na mwaume maisha yako yote?
Hiyo nini maana yake wakuu?
Ulikaambia nini hako katoto mpaka kakauona na wewe ni muongo?
 
tenor.gif
 
Siku ya leo nimepigwa na butwaa sana baada ya binti mwenye umri wa miaka 16 kuniambia kuwa

"NYIE WANAUME NI WAONGO"
"MNAPENDA TU KUTUCHEZEA WANAWAKE"

"MIMI MAISHA YANGU YOTE SITAKUWA NA MWANAUME TENA".

Sasa nikabaki tu najichekea mwenyewe,
sasa wewe una miaka 16, halafu unasema hutakuwa na mwaume maisha yako yote?
Hiyo nini maana yake wakuu?
Ukiona hivyo kashatongozwa sana

Vp ana chura

Ova
 
Siku ya leo nimepigwa na butwaa sana baada ya binti mwenye umri wa miaka 16 kuniambia kuwa

"NYIE WANAUME NI WAONGO"
"MNAPENDA TU KUTUCHEZEA WANAWAKE"

"MIMI MAISHA YANGU YOTE SITAKUWA NA MWANAUME TENA".

Sasa nikabaki tu najichekea mwenyewe,
sasa wewe una miaka 16, halafu unasema hutakuwa na mwaume maisha yako yote?
Hiyo nini maana yake wakuu?
Wewe ulikuwa umemuomba nini mtoto msichana wa miaka 16?.😳🤔
 
Mbona wanaanza mapema sana hayo mambo! Unaweza mkuta wa miaka 8 anaongea mambo wewe huwezi kabisa.
 
Mkuu hujawahi kusoma shuleni??

Shule kibao tu form 2 kunakuwaga na couples kabisa na hapo wengi wana 14.

labda mwenzetu ulianza kuyajua haya mambo ukiwa 20 😁😁
 
Siku ya leo nimepigwa na butwaa sana baada ya binti mwenye umri wa miaka 16 kuniambia kuwa

"NYIE WANAUME NI WAONGO"
"MNAPENDA TU KUTUCHEZEA WANAWAKE"

"MIMI MAISHA YANGU YOTE SITAKUWA NA MWANAUME TENA".

Sasa nikabaki tu najichekea mwenyewe,
sasa wewe una miaka 16, halafu unasema hutakuwa na mwaume maisha yako yote?
Hiyo nini maana yake wakuu?
Acha kutingoza watoto mbona wanawake ni wengi sana
 
Kama mpaka sasa hujakamatwa kwa ushahidi wako huu kwa KUCHEZEA NYARA ZA SERKALI basi serkali inahangaika na 2025
 
Back
Top Bottom