Nimeshangaa sana hili sana

Nimeshangaa sana hili sana

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Humu nimesoma post nyingi za wanaume wanatafuta wanawake wakuishi nao sasa vigezo vinafurahisha.

1. Eti awe na chuchu zimesimama . Sasa mnawazalisha watoto wadogo hadi tigo mnawaomba sasa mnadhani sasa nani anamaziwa kama hayo .
Mababa wengine wanawafukunyua watoto wawatu hadi maziwa yanakuwa ndala . Halafu mmechoka kuwachezea mnakuja kwa ngozi yakondoo natafuta mke . Yupi sasa mana hata kama hana mtoto kachoka kila idara. Anasubiri kuolewa kwa bahati .


2. Jingine eti awe mcha mungu
Unamtolea wapi mcha mungu na huku wengi mmewatelekeza wapo kwa waganga wanatafuta dawa zakuwawekea.mtoe hela za matumizi.
Nawaolewe.

3. Eti awe anaelimu atleast form four hapo mnawapata wapi wanafunzi wanamna hiyo na huku mnawawinda mnawapa viepe , shopping ndogo mdogo mnawaambia usiende kwenye somo hili unampeleka guest unaanza kumuimbisha sukari ya zuchu, au honey ,honey huku unamuharibu kila mahali atasoma saangapi hata amalize hiyo form four msivyo na huruma unamfuata mtu unayemaisha magumu unamuacha na mimba hajui afanyaje mnaroho mbaya . Mkifanya kitu kuweni na akili basi.

4. Umri asizidi 30 . Sasa wa 30 hafadhali maana hata wanajielewa wale wote wengine wapi busy bado kudanganywa na nyie msio namuelekeo na vijitambi vyenu mmepauka hamlali kusaka nyota za vitoto vya watu.

wanaume mmewaharibu wasichana sana kweli. Mnawarubuni na visoda vya hapa napale . Tulieni oeni .

Maisha ni haya haya hata baba zenu walikuwa wanasota kulisha familia

La.mwisho kama upo humu unadangia wanawake au unasumbua watoto wakike wasisome na kausafari kaserikali acha unawapoteza wamama wa baadae . Unamke tulia naye acha umalaya.

Hauna dili PIMA VVU ISHI
 
IMG_20240331_184258.jpg
 
Tunamshukuru Mama Samia kwa kuwajali Wanawake na kuwaamini,,naamini akiliona hili atalifanyia kazi Kisawasawa!!
Angewajali.kama.angewashika hawa watu wanaokwamisha wasichana shulw nakuwapa majukumu
 
Sasa bidada uliona wapi mwanafunzi anarudia somo alilo faulu??
Kila mwanaume kiundani anatafuta ile shepu ya zari , sura ya nandy nk you list ni ndefu tu, sema tu hazipatikani kwa siku hizi .
Yule duli kijana wa mjini kajichanga ana duka lake mtaji umezidi 10M unataka aende na kidem kifua kimelala kumi na mbili jioni kweli ???
Hata ww ulipo ungechupika msambwanda lenye balaa, kifua saa sita mbona tungepaki range zetu tukipishana kila mtu mfuko wake ujisemee mwenzangu???
Kila mtu ni vita vyake, usiwapangie vijana wa kizazi kipya diet yao, wale chocolate au au light skin bora kajipanga kwani nni .
Mambo ni mengi masaa ndiyo machache ndo wanasema siku hiz
 
Sasa bidada uliona wapi mwanafunzi anarudia somo alilo faulu??
Kila mwanaume kiundani anatafuta ile shepu ya zari , sura ya nandy nk you list ni ndefu tu, sema tu hazipatikani kwa siku hizi .
Yule duli kijana wa mjini kajichanga ana duka lake mtaji umezidi 10M unataka aende na kidem kifua kimelala kumi na mbili jioni kweli ???
Hata ww ulipo ungechupika msambwanda lenye balaa, kifua saa sita mbona tungepaki range zetu tukipishana kila mtu mfuko wake ujisemee mwenzangu???
Kila mtu ni vita vyake, usiwapangie vijana wa kizazi kipya diet yao, wale chocolate au au light skin bora kajipanga kwani nni .
Mambo ni mengi masaa ndiyo machache ndo wanasema siku hizo
Sasa mtawapatia wapi..?? Naasilimia kubwa mmewaharibu??
 
Una weza kupangia mabilion ya watu namnA ya kutafuta penzi? Hii ni vita zaidi ya uchumi
 
Sasa mtawapatia wapi..?? Naasilimia kubwa mmewaharibu??
Kuna don fulani na malorry yake msukuma alinipa story nlicheka sana , enzi za kuamini ke hawajui mambo yamepita .
Jamaa alidai alipewa raha na mtoto wa zanzibari guest mpaka akapiga nduru na yy ndo mwanaume.
Yaani mtoto kwa sura anakaa mdogo ila yule mbaba alirudi nyumbani akidai bongo watoto ni walio tumboni tu.
Walioharibika walijiharibu wenyewe
 
Back
Top Bottom