Kwanza kabisa nimshukuru mkuu wa mkoa wa Daslamu kwa kukomesha umalaya, uchangudoa katika mkoa wetu. Sasa hivi waliokua Malaya kipindi huyu mwamba hajaja mjini Sasa hivi wanalia na kusaga meno. Kila mwanaume wa Dar kwa Sasa ana mke wake anapata huduma usiku kucha. Nikija kwenye mada ya Unique Flower, Mimi mwanamke hata awe na ndala au flat screen, as long as hajawahi kuliwa tigo huko nyumba, Mimi kwangu Ni wait material.