Nimeshangaa sana leo baada ya kufika Dege Kigamboni

Nimeshangaa sana leo baada ya kufika Dege Kigamboni

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
5,175
Reaction score
16,488
Nilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo. Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa, majumba kama utitiri.

Baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village. Kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama Kariakoo au hata zaidi.

Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.

Hela zimelala pale matrioni nadhani.

Dege eco village_NSSF.png
 
Nilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.

Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Umetoka Usukumani? Kigoma? Kwa wamakonde? Kwa Ndugai leo mpaka ushangae?
 
Nilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.

Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Stori kubwa lkn umekosa hata baadhi ya picha mkuu
 
Mnaotaka Picha Kilaba ameiweka, kwa haraka haraka unaweza kusema labda ni mitaa ya kutoka ulaya.
 
Nilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.

Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Zile hela za mikopo, au?

But, nchi hii inahitaji maendeleo kama haya.

PICHA tafadhali!
 
Hakuna uwekezaji wa aina ile popote pale hapa Nchini.
pale ni matrioni yamelala aise.
Fao la kujitoa na mafao ya wazee hasa wale wastaafu wanaosumbuliwa
Kila siku njoo kesho,, njoo wiki ijayo etc.

Kumbe pesa zimezikwa
 
Fao la kujitoa na mafao ya wazee hasa wale wastaafu wanaosumbuliwa
Kila siku njoo kesho,, njoo wiki ijayo etc.

Kumbe pesa zimezikwa
Tuwe wakweli tu, hii miradi ilisimamishwa na Magufuli hata ule wa Morocco na Kawe. Leo tunalipa pesa nyingi sana ya interest kwenye mkopo pamoja na kulipa difference ya ongezeko la bei ya vifaa pamoja na damages kwa contractor.
 
Nilikuwa Dege Kigamboni siku ya leo,
Nimeshangaa sana baada ya kuona majumba makubwa sana ya ghorofa,
majumba kama utitiri,
baada ya kuuliza nikaambiwa ni mradi unaitwa Dege Eco Village.
kwa haraka haraka tunaweza kusema ni kama kariakoo au hata zaidi.

Nakosa hata ya kuandika maana bado nashangaa.
hela zimelala pale matrioni nadhani.
Vipi zimekamilika au ni magofu tu?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom