Nimeshangazwa kusikia Chuo cha MUM (Muslim University of Morogoro) hakina weekend, hii imekaaje?

Nimeshangazwa kusikia Chuo cha MUM (Muslim University of Morogoro) hakina weekend, hii imekaaje?

Wana JF,

Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free.

Hii imekaa vipi kitaaluma?
Kwani tatizo nini kama wameona ndivyo wanavyopaswa kufanya kazi? Hapa kazi tu.
 
Vyuo haviko kwasababu za kidini,,Kuna vyuo vingi vya taasisi za kikristo zinapokea waislamu provided wanalipa karo,,sio lazima kila dini I we na chuo kwani vyuo vya taasisi za kikristo zinafundisha injili au masomo ya kawaida?.
Au hivyo vyuo vizuri vya kikristo huwa vinatoa gawio kila mwaka la mapato yake kwenye Kaya za wakristo?.
Sioni logic ya wewe kuhimiza eti waislamu wawe na vyuo vizuri Kama wakristo,
Vyuo magumashi vinafungiwa kila siku na Kuna vingi tu vya St barbanas lakini hakuna mtu anahusishwa na udini,
Muache kulalama watu wazima,eti mfumo kristo.Laleni hivyohivyo .
 
Rudi sekondari ukaendelee kufurahia maisha.
 
Nipo IFM na tuna test hadi jumamosi na jumapili...
Ila hatulalamiki tunakomaa wewe nani hadi ulalamike...?.
Shabhash[emoji34][emoji34] Hupendi kusoma acha chuo kauze nyanya[emoji534].
Ivi unatuchukuliaje sisi wauza nyanya unadhani hatujasoma? Kuwa na adabu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyie mnagombania jmosi na j pili huku watu account zao zinaingia mabilioni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli tupo tofauti
 
Unashangaa MUM. sisi UDOM tulishapiga pepa siku ya pasaka Tena asubuhi saa 2. Na hakuna aliyelalamika.
Huo uhuni yaani chuo kizima kinashindwa pangilia ratiba mpaka mnapiga pepa pasaka....ama kweli waafrika ni manyani
 
Tatizo la Bakwata/TIF hawana vipaumbele na malengo mazuri ya uwekezaji. Wanakazania kujenga misikiti (imani inawatuma hivyo) kuliko kuboresha MUM au kujenga chuo kipya au hata hospitali. Wanatakiwa wabadilike la sivyo MUM kitakuwa gofu.
 
Back
Top Bottom