Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwani tatizo nini kama wameona ndivyo wanavyopaswa kufanya kazi? Hapa kazi tu.Wana JF,
Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free.
Hii imekaa vipi kitaaluma?
Muache kulalama watu wazima,eti mfumo kristo.Laleni hivyohivyo .Vyuo haviko kwasababu za kidini,,Kuna vyuo vingi vya taasisi za kikristo zinapokea waislamu provided wanalipa karo,,sio lazima kila dini I we na chuo kwani vyuo vya taasisi za kikristo zinafundisha injili au masomo ya kawaida?.
Au hivyo vyuo vizuri vya kikristo huwa vinatoa gawio kila mwaka la mapato yake kwenye Kaya za wakristo?.
Sioni logic ya wewe kuhimiza eti waislamu wawe na vyuo vizuri Kama wakristo,
Vyuo magumashi vinafungiwa kila siku na Kuna vingi tu vya St barbanas lakini hakuna mtu anahusishwa na udini,
Duh sio mchezo....2010-2013 UDOM tulikua tunachapwa sana hizo vitu. Ni kawaida saana hiyo.
Nazikumbuka extreme daaah,kula pindi kuanzi 8:00am to 7:00pm
Ivi unatuchukuliaje sisi wauza nyanya unadhani hatujasoma? Kuwa na adabuNipo IFM na tuna test hadi jumamosi na jumapili...
Ila hatulalamiki tunakomaa wewe nani hadi ulalamike...?.
Shabhash[emoji34][emoji34] Hupendi kusoma acha chuo kauze nyanya[emoji534].
Huo uhuni yaani chuo kizima kinashindwa pangilia ratiba mpaka mnapiga pepa pasaka....ama kweli waafrika ni manyaniUnashangaa MUM. sisi UDOM tulishapiga pepa siku ya pasaka Tena asubuhi saa 2. Na hakuna aliyelalamika.
Hamna chuo pale wapo kibiashara zaidi hawa jamaaHuo uhuni yaani chuo kizima kinashindwa pangilia ratiba mpaka mnapiga pepa pasaka....ama kweli waafrika ni manyani
Chuo kizuri sana napenda jinsi wanawake pale wanavyo jistiriHamna chuo pale wapo kibiashara zaidi hawa jamaa
Sawa wanajisitiri vizuri ila at the time mavazi yanaficha mengiChuo kizuri sana napenda jinsi wanawake pale wanavyo jistiri
Tako na titiSawa wanajisitiri vizuri ila at the time mavazi yanaficha mengi