OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Waulize madaktari na wauguzi mateso wanayopata kwenye hizo bodi unazozililia,
Leseni laki na nusu, pepa laki na nusu, supp elfu 75,
Alafu unaambiwa utoe pesa ya mahafali ya leseni,
Yaani mkuu huwaonei huruma wenzako mimi nakufananisha na wachawi
Leseni laki na nusu, pepa laki na nusu, supp elfu 75,
Alafu unaambiwa utoe pesa ya mahafali ya leseni,
Yaani mkuu huwaonei huruma wenzako mimi nakufananisha na wachawi