Nimeshangazwa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kutotaka Bodi ya kitaalam ya Walimu

Afadhali wew unaelewa, na hii ni kilio cha muda mrefu.
 
Very correct ,watu wenye mashaka na competence yao ndo hawaitaki board.
 
Mi napingana kidogo na wew ,acha walimu walipie ili board iwe huru. Pia suala hapo ni kuwa watu wawe na hiyari ya kujiunga na cwt au la. Ili atakae kubeba mizigo yote yaani board na cwt abebe asietaka aachwe.
 
Kwahiyo hiyo 50000 ni kubwa kuliko wanayochukua cwt.
Kwa hiyo cwt wachukue, uongeze tena 50,000/-ya bodi. Mkaianzishe huko iwahusu wabunge. Bodi ya kitaalamu ya wabunge!! Kwani wao Wana mini kiwasaidiacho kufanya majukumu yao kwa weledi? Waanzishe bodi, walimu Wana cwt , tsc nk. Huo upuuzi mwingine ni wa nini kwa walimu ??
 
Bodi siyo mbaya,ila waangalie namna ya kulipa hiyo ada ya mwaka.CWT humkata mwalimu asilimia mbili ya mshahara kila mwezi,ni bora waanze kukata asilimia moja na asilimia moja nyingine iende kwenye hiyo bodi ila siyo kuanzisha makato mapya
Mnajitengenezea ulaji kupitia mgongo wa mwalimu. Leave teachers alone. Mmewanyanyasa vya kutosha, mmewapuuza vya kutosha. Too much !!
 
Kila walimu sometimes huwa hawaeleweki wanataka nini
Hiyo bodi inakuja na michango wana haki ya kuikataa kila anayewaza kupika wazo la kwanza anawaza waalimu. Mishahara yao midogo lakn kila mtu anataa awapige
 
KUNA AKINA AKILIMALI HUMU KAMA YULE KIONGOZI WA TIMU FULANI,HAWAPENDI MAMBO YA KITAALAM WANAJUA KABISA YAKIINGIA TONGE LITATOWEKA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…