Nimeshangazwa na hili la ubaguzi halmashauri ya Mbeya

Mbeyacity hawana ubaguzi,dogo langu katoka ofisi ya afisa elimu wa jiji,kahudumiwa safi sana! Amekaribshwa mpaka chai- KARIBUNI NYANDA ZA JUU KUSINI KWA UWEKEZAJI,kwani ni mikoa inayokua kwa kasi kubwa.
 
nimetokea kuuchukia huu mkoa na sasa ndio naanza kuamini hili ndilo linalofanya mkoa wao kutoendelea mijinga sana yani inataka misafwa na minykysa myenzao ndio iwahudumie wakati kodi tuvnalipa sote

Ubaguzi ni janga kwa Africa wanafikiri wakiwa wao ndo wataendelea USA imejengwa na immigrant wakalie tu ubaguzi wao
 
Mikoa ya njanda za juu kusini wabaguzi wa kupindukia!ukiona mahali mchaga ameshindwa kufanya biashara pakimbie

Acha uongo wako wewe, watu mnakimbia kufanya biashara kwa sababu ya ushindani mnasingizia ubaguzi.
 
dah!yan nimeishiwa nguvu kabisa na sijui nifanye nini maana tar10july ndio mwisho wa kuomba na hawa watu wa posta imani nao imenitoka kabisa yani toka nianze kutumia posta sijawah kufanikiwa nahisi barua hazifiki dg
Umetoka kijijini unaleta ukabila hapa,wewe Mpaka karne hi hujui kuna kitu kinaitwa EMS, POSTA HUDUMA HI NI YA HARAKA HATA KAMA ZIMEBAKI SIKU 3 Deadline, ZINDUKA USHAFIKA MJINI Huduma hi ni sh 10500 tu barua yako itafika Wizarani fasta,na ndo tangazo linavosema tuma barua kwa katibu mkuu,ukiona hela kubwa shauri yako chuo utakosa na utabaki unalialia tu!huduma hi ipo posta zote Tanzania
 

acha uzezeta unasema ni malalamiko ya kutunga kwani wewe ndio ulienda halmashauri?alafu hivi unamjua mtu aliyefeli wewe?tuache hayo hivi hata linalozungumzwa unalitambua kweli?tangazo la wizara linataka wanafunzi waliopata div 1,2 na 3 katika masomo ya sayansi,hisabati na kingereza sasa mimi ni mwehu mpaka niwe sina kati ya madaraja hayo alafu nijihangaishe kuomba?jiheshimu mkuu,huo muda ambao wewe unauona mwingi kwangu ni mchache sana,
 
nimetokea kuuchukia huu mkoa na sasa ndio naanza kuamini hili ndilo linalofanya mkoa wao kutoendelea mijinga sana yani inataka misafwa na minykysa myenzao ndio iwahudumie wakati kodi tuvnalipa sote
WEWE KWELI UNAFIKILI KWA KUTUMIA NYAMA ZILIZO CHINI YA MGONGO,aliyemjibu vibaya una uhakika gani kama ni Msafwa au mnyakyusa,MADOGO WA SIKU HIZI NA DIVISION 5 ZENU HAMJIAMINI,utakuta kafika pale anatetemeka jasho mpaka kwenye mfereji wa Suez Ukome kusema misafwa na minyakyusa!!Shuleni hamsomi matokeo mabaya mnaanza kulaum makabila.
 
Nenda posta Ems kaulizie au kama posta hukufaham tukuelekeze?
 
dah!yan nimeishiwa nguvu kabisa na sijui nifanye nini maana tar10july ndio mwisho wa kuomba na hawa watu wa posta imani nao imenitoka kabisa yani toka nianze kutumia posta sijawah kufanikiwa nahisi barua hazifiki dg
Acha kulalamika, maana umeanza na halmashauri tena ukaja kwa posta, halafu unanishangaza barau kutoka mbeya leo tar 26 ishindwe kuwahi dar tar 10 july wanatumia pikipiki kutuma?
Skuona haja ya kujibizana na mtu wakti tangazo limesema hivi, Maombi yatumwe kwa:

KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
7 MTAA WA MAGOGONI ( Zamani S.L.P. 9121)
11479 DAR ES SALAAM (Aione: Mkurugenzi, Elimu ya Ualimu)

Kwa wale walioko mikoani, maombi yanaweza kupelekwa kwa Afisa Elimu wa Wilaya ambaye atayawasilisha kwa Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
Ni kuwa unaweza na siyo lazima

 

ha ha ha Umepanic dogo ndo sababu unaropoka hata usichokijua,Hii inaonyesha jinsi gani point zako ni za hovyo/au vyeti vyako vya kugushi ndo sababu unaogopa kutuma maombi dar, ungekuwa na sifa ungeshatuma siku nyingi,kuliko kupiga poroja hapa, ili Stori yako ya kutunga ikae vizuri jibu swali hili ulijuaje kwamba uliowakuta ofcn ni wasafwa na wanyakyusa?,
 
Kama kweli uko serious tumia EMS wao hawarembi.Inafika wizarani siku inayofuata tena inakabidhiwa kwa dispatch kabisa.
 
Kama kweli uko serious tumia EMS wao hawarembi.Inafika wizarani siku inayofuata tena inakabidhiwa kwa dispatch kabisa.

yap!nimekupata mkuu,na hilo ndilo ninalolifanya sasa ikiwezekana kesho nitume EMS,
NASHUKURU
 

siwezi bishana na mtu mwenye kichwa kilichojaa kamasi,utanisamehe ndugu!ngoja nisikilize watu wenye akili
 

ndio tatizo la misafwa,nguvu pipa akili kisoda
 
(TUSI KALI)..kama huna la kuchangia ni bora ukapita kimya hata ukisoma tu comment za wengine pia ni aina ya ushiriki
Ukishakashifu kabila la mtu ni vigum kupita tuuu lazima ueleweshwe maana ndo nyie wasomi ambao hamjui athari za kutuhumiana kimakabila Tatizo shule za kata mnazosoma mnawaza ukabila tu.TULINDE AMAN YA NCHI YETU Mwl Nyerere alifuta ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…