Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
Naandika kwa masikitiko hii taarifa jamani wakubwa zangu shikamooni,vijana wenzangu habarini za muda huu,...kama inavyofahamika wizara ya elimu imetoa tangazo la nafasi za masomo ya kidato cha tano na ualimu kwa wale waliopata div1* mpaka div3 kuanzia mwaka 2004 mpaka 2013 na kama tangazo linavyoelekeza kuwa maombi yatumwe kwa katibu mkuu wizara ya elimu kwa wale walio dar es salaam ila kwa sisi tulio MIKOANI maombi yetu tuyapeleke kwa afisa elimu wilaya, mimi nipo mbeya kwa sasa na kwakuwa nimeona deadline ni karibu sana nikaona bora niombee hukuhuku ila niliyokutana nayo katika ofisi ya afisa elimu yamenichosha na kunivunja nguvu kabisa,nilipofika baada ya kueleza shida yangu nikakumbana na maswali ya ajabu
1.WEWE MWENYEJI WA WAPI?
2.SHULE UMESOMEA MKOA GANI?
3.KWANINI USIENDE KUOMBEA HUKO NYUMBANI KWENU?
4.HAPA ANAKUJUA NANI?NA NANI ATAPITISHA HIYO BARUA YAKO?(nikamjibu wameandika kuwa afisa elimu awasilishe kwa katibu na sio apitshe)
5.(akajb)SISI HATUWEZI KUSHUGHULIKIA HILO SUALA LAKO UENDE UKAOMBEE DAR
1.WEWE MWENYEJI WA WAPI?
2.SHULE UMESOMEA MKOA GANI?
3.KWANINI USIENDE KUOMBEA HUKO NYUMBANI KWENU?
4.HAPA ANAKUJUA NANI?NA NANI ATAPITISHA HIYO BARUA YAKO?(nikamjibu wameandika kuwa afisa elimu awasilishe kwa katibu na sio apitshe)
5.(akajb)SISI HATUWEZI KUSHUGHULIKIA HILO SUALA LAKO UENDE UKAOMBEE DAR