southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
na kaweka jina ni angel,wanampata kirahisi tuuUmefanya mambo yazidi kua magumu,polisi wa Dodoma wamo humu,inamaana watamtafuta huyo dada aliyekutumia meseji,wakamshikilie.Umefanya ujinga sana.Usidhani Kila kitu ni cha kupost.Subiri afuatwe,nawewe ukamatwe kuwasaidia polisi.Andaa hela.
alikuwa halijui hili ila ndio kaaribu tayariMnatiwa mbaroni wewe na mpenzi wako muda siyo mrefu,jipange kisaikolojia.Utajutia teknolojia.Dada huyo atajuta kufahamiana nawewe.
Mimi ninamuacha avune alichopanda kwani hiyo ni mipango na siyo dharula/dhalura/dharura/dhalula.Sasa kumuhudumia dada yake ndio kosa?
We ulitakaje kwani.
Kwann unam link nae na matumizi?
Kwahiyo wewe ndugu yako akipata majanga regardless unamuacha afie mbele huko sio?
Kwanza unakaaje na mtu miaka 4 unaita uchumba
Then anakuja kulala kwako akamatiwe geto lako utaozea jelaπ πMtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweliView attachment 2676117
Tukaendelea
View attachment 2676118
View attachment 2676120
View attachment 2676120
View attachment 2676122
Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the way alivokuwa anajibu maswali niliyokuwa namuuliza, naona kabisa huyu bubie yupo kwenye huu mtandao wa madawa, nimeamua kuachana nae.
Kitu kilichonishangaza anaongea kwa kujiamini sana, kwamba mama yake kakamatwa na mzigo mambo yote yashawekwa sawa anatoka, Ina maana serikali imekuwa laini kiasi hiki? Binafsi namuomba mungu kaamua kuyaweka haya mambo wazi mapema, Angeweza hata kuniletea shida wakati sijui lolote kuhusu haya mambo.
Mbona hutumi namba yake. Mie sijasema kuwa huna hela mkuu. Ila nimesema Aina ya hiyo wanawake ndio niwatakao. Ninaomba namba yake pm anaweza akawa hata business partnerHela nilizo nazo zinanitosha mkuu, sihitaji madili haramu ili nipate pesa za misukosuko
Tena utahadhari kwa mbali kabisa. Kuna siku isiyo na jina unaweza kupita msako wakati yeye yuko kwako na wewe ukasombwa mzima mzima. Na hapo hakuna mjadala na wewe unajumuiishwa.Atamtoa aliyemuingiza huko, huo upumbavu Mimi sitaki. Familia imenisomesha ikiwa na malengo na mimi na bado inanitegemea huo ujinga atamalizana nao kama alivyoanza nao
π€£π€£π€£ππ€£ππππUnatumia infinix then unakwepa madili!!
ππππππ
Sasa kwann umemchomaa mwenzio??tabia mbaya hiyoo khaaahWako nae huko mzee, kwa hiyo na wewe unatete upusha, au na wewe ni pusha?