nimeshapata

nimeshapata

mkuu toka siku ile umesema you are in your 40's unatafuta wa 35 to 40 hujapata tu? kwani madame x ilikuwaje tena,niliona kama alionyesha interest?
utakuja kusutwa vibaya Bishanga kuliko misuto yote niliyowahi kushuhudia! haya we endelea ka unataka aibu.
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana Mkuu. Hii inaweka record kuwa JF ni zaidi ya jamvi. It is a Social Network!

Msalimie Bibie.

Asante sana Cool Gentleman.
Salamu zako zimefika.
Bibie mwenyewe ndie mie.
Na nakuhaidi tutakualika ktk sherehe yetu ya utambulisho.
Mapenzi ni maridhiano.
Nampenda sana Ahmad a.k.a Nascoba.
 
Asante sana Cool Gentleman.
Salamu zako zimefika.
Bibie mwenyewe ndie mie.
Na nakuhaidi tutakualika ktk sherehe yetu ya utambulisho.
Mapenzi ni maridhiano.
Nampenda sana Ahmad a.k.a Nascoba.

Haaaa haaaa kumbe ni wewe Madame B? Halafu nilikwita kule kwangu bila kujua. Msalime Ahmad, asubiri ndoa kwanza ili nikipata na mie tufanye 2 in one. Afu, nilifikiri wewe na MadameX in Twins, kumbe walaaaa.

Hongera sana Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Haaaa haaaa kumbe ni wewe Madame B? Halafu nilikwita kule kwangu bila kujua. Msalime Ahmad, asubiri ndoa kwanza ili nikipata na mie tufanye 2 in one. Afu, nilifikiri wewe na MadameX in Twins, kumbe walaaaa.

Hongera sana Mkuu.

Sasa mkuu,
iwapo tutafunga ndoa mapema na wewe ukiwa bado hujapata mwenzi itakuwaje?
Madame X ni pacha wangu wa Jf.
Unasema uliniita kule wapi?.
....hebu nikumbushe
 
Last edited by a moderator:
Haaaa haaaa kumbe ni wewe Madame B? Halafu nilikwita kule kwangu bila kujua. Msalime Ahmad, asubiri ndoa kwanza ili nikipata na mie tufanye 2 in one. Afu, nilifikiri wewe na MadameX in Twins, kumbe walaaaa.

Hongera sana Mkuu.

Sasa mkuu,
iwapo tutafunga ndoa mapema na wewe ukiwa bado hujapata mwenzi itakuwaje?
Madame X ni pacha wangu wa Jf.
Unasema uliniita kule wapi?.
....hebu nikumbushe
 
Last edited by a moderator:
Hashycool tuliza ball.
Tukiwa tayari tutaku-PM.
Maana kuna baadhi ya wana Jf wachache tutawaalika ktk Party ya Utambulisho hapo Siku itakapowadia.

Hongera shost, Mungu awatangulie ktk kufanikisha lengo lenu. Kila laheri lol
 
Hongera shost, Mungu awatangulie ktk kufanikisha lengo lenu. Kila laheri lol

Asante sana Best Lady G,
unajua ktk kutafuta mwenzi lazima ugumu uwepo,
maana si wote watakuwa serious ktk jambo hilo.
Ila ni jambo la kumshukuru Mungu kwa hatua tuliyoianza kati yangu na Nascoba.
Asante sana na tuzidi kumuomba Mungu tuvuke vizingiti vya Dunia.
Amina.
 
sijawahi kuwa serious hapa ndani!

Unajua Paxman U-serious unakujaje,
1. Endapo utaandika ombi lako pasi na utani NA
2. Utakuwa na kauli nzuri ktk majibu yako.
Naamini ukifanikisha hayo,
Utafanikiwa Believe or Not.
Mbona Nas ameweza?
Try Paxman.
 
Kila kitu kinawezekana ukiamini...Hongera sana Nascoba..
 
Back
Top Bottom