nimeshapata

nimeshapata

Kila kitu kinawezekana ukiamini...Hongera sana Nascoba..

Kwa niaba yake,
nasema Asante sana tena sana Neylu.
Na kweli kila kitu ukiamini lazima kiwezekane.
Asante Mkuu.
 
Madame B kufanya mapenzi ni moja ya kigezo kupalilia upendo kwa mwenzi wako
 
Last edited by a moderator:
acha kuchafua hali ya hewa hapa.....:thinking:

Yaani mimi mwenyewe namshangaa,
kang'ang'ania utadhani kaambiwa lazima kuchangia.
Hawa ndio wale wanaotafutwa kule Cameroon.
Bora umwambie wewe Neema.
Analeta ujuaji wake hapa wakati hata Certificate ya Sex hana!!
 
madame kama mmetongozana na kukubaliana huko kulikuwa na haja gani yakuanika huku? Na sisi tunatoa ushauri hapa jamaa asije akaona bwawa akaja kuanzisha uzi hapa wa kuomba ushauri
 
Last edited by a moderator:
madame kama mmetongozana na kukubaliana huko kulikuwa na haja gani yakuanika huku? Na sisi tunatoa ushauri hapa jamaa asije akaona bwawa akaja kuanzisha uzi hapa wa kuomba ushauri
 
Last edited by a moderator:
madame kama mmetongozana na kukubaliana huko kulikuwa na haja gani yakuanika huku? Na sisi tunatoa ushauri hapa jamaa asije akaona bwawa akaja kuanzisha uzi hapa wa kuomba ushauri

Naomba uelewe wewe,
Ukijiona huna cha maana cha kuchangia ni heri mkapakatane na hawara yako.
Waache wanaojua maana ya mapenzi wachangie.
Kwani tukianikana huku wewe kinakuuma nini?
Au unanitaka?
Kama unanitaka kuwa muwazi ili usaidiwe.
Wapo wa kuwaomba ushauri lakini si kwa jitu kama wewe uliokosa ustaarabu wa Bara na Pwani.
Kwani akikuta Bwawa kinakuuma nini? Ataogelea mwisho wa siku atafika ng'ambo.
Au ulikuwa unamtaka?
Funguka wewe.
Ina maana asirudishe mrejesho?
Usiwe kama **** flani aliekuwa 'Mtumwa ugenini'.
ANGALIA UTAKUJA KUOLEWA MCHANA KWEUPEEE MBUZI ANAKULA MAJANI...!!
Na kama unasema tumekuja kujianika,wewe unaruhusiwa kuja kutuanua..!!!
Usivamie Pori kwa Wembe.
 
Last edited by a moderator:
Madame B unajishushia heshima mpaka sasa wewe hufai kuwa mke labda kama nas anataka akuweke kipoozeo na si mke wa ndoa.
 
Last edited by a moderator:
madame kama mmetongozana na kukubaliana huko kulikuwa na haja gani yakuanika huku? Na sisi tunatoa ushauri hapa jamaa asije akaona bwawa akaja kuanzisha uzi hapa wa kuomba ushauri

Acha kumuandama my wife to be Madame B bwana au umetumwa?hiyo mifano unayotoa inamhusu wako pole sana,niache nibarizi na malkia wangu.halafu ktk wachangiaji wote peke yako ndo umeonekana chokoraa ambae hukufunzwa adabu sawasawa kwa hiyo si kosa lako.kwa faida yako tunapotoa ripoti hapa jamvini ni kwa lengo la kuwathibitishia wengine kwamba haya mambo yanawezekana na hata walioweka jukwaa hili wataweza kujua kwamba linaleta tija,ila kwa nyie wala gongo ndo inakuja shida japo la kufanya hatuna kwa kuwa ndo ushazaliwa,zao la mimba za uchochoroni.
 
Last edited by a moderator:
Madame B unajishushia heshima mpaka sasa wewe hufai kuwa mke labda kama nas anataka akuweke kipoozeo na si mke wa ndoa.

Kwa hyo ndio ulichokuwa unakitaka?
Aniache ili awe na wewe?
Unataka akuoe wewe mwanaume mwenzake?
Ha! Ha! Ha! Labda umpe Mama yako amuoe.
Kwanza kuwa na heshima.
Coz nyie VINABO mnasumbua sana.
 
Last edited by a moderator:
We ukiolewa kwa kulazimisha ndoa haidumu jamaa inabidi apitie list ya wanawake wengine
 
Madame B unajishushia heshima mpaka sasa wewe hufai kuwa mke labda kama nas anataka akuweke kipoozeo na si mke wa ndoa.

Asiwe mke wa ndoa?nitampata wapi mwingine kama yeye,unaijua thamani yake unaongea tu?au utaniletea mam'ko badala yake?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom