Nimeshatongoza nafanyaje sasa

Nimeshatongoza nafanyaje sasa

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
887
Reaction score
2,010
Habari wakuu...

Nilipata namba yake nilichart nae dakika kadhaa na nikamueleza ukweli NAMPENDA haya mtoto kanielewa???

Nini kinafuata baada ya hapo wakuu???

Ushauri wenu nahitaji nile huyu mtoto...
 
Andaa vitabu vya kwenda navyo prepo

time will tell
 
Akishakubali hutakiwi kuwa na haraka. Msubili mpaka atakaposema anahitaji kumegwa
 
Kinachofuata ni wewe kuweka picha yake hapa bila kusahau namba yake fasta mkuu!!
 
Back
Top Bottom