Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kutumia dawa mpaka kifoUsiogope, mwanaume haogopi vitu vidogo hivyo. Unaweza kutumia na mwosho pressure ikakaa sawa tu!
Sawa mkuu chanzo cha pressure ni changamoto za maisha zinazonikabiliTafuta chanzo cha pressure kupanda kwenye mwili wako kisha utatue hiyo changamoto, pressure ya kupanda ina hatari mbaya sana inaweza ikakuchukua mazingira ambayo hata haukutarajia.
Vip inahusiano na kupanda kwa pressurekapime typhoid
ExactlyTafuta chanzo cha pressure kupanda kwenye mwili wako kisha utatue hiyo changamoto, pressure ya kupanda ina hatari mbaya sana inaweza ikakuchukua mazingira ambayo hata haukutarajia.
Prof Janab anashauri sana sema wabongo wabishi• Iko juu sana hiyo pressure mkuu, Amlodipine and lasix zinakuhusu.
• Punguza matumizi ya chumvi, Punguza ulaji wa mafuta ya kuganda, Punguza utumiaji matumizi ya sukari kiholela
Una msongo wa mawazo? Je ulifanya check up tu ya kawaida ama ulikuwa unaumwa ndipo ukaenda hospital kutibiwa?Sawa mkuu chanzo cha pressure ni changamoto za maisha zinazonikabili
Nilikuwa nasumbuliwa na homa.Una msongo wa mawazo? Je ulifanya check up tu ya kawaida ama ulikuwa unaumwa ndipo ukaenda hospital kutibiwa?
Kwa 40s presha itakua imekuja mapema sana, unless kama una strong family history of hypertension.Nina miaka 40s nimepima hospitali ya wilaya
Joto ni la kawaida na hasa hiki kipindi cha masikaKwa 40s presha itakua imekuja mapema sana, unless kama una strong family history of hypertension.
Pia kuna ishu ya joto kali nowdays, ambayo sometimes inawasababishia vijana kupata hypertension na mwisho kuishia na heat stroke, sijajua hali za huko mikoani.
Btw, ingekua vyema kama wangefanya blood workup kucheki sababu nyengine ambazo zingepelekea tatizo kama hilo.
Inategemea na imekupiga kiasi gani maana kama mishipa ya ubongo imeathirika sana ndio utabaki na ulemavu hadi kufaStroke haitibiki?
Mkuu kwani nani anaishi milele? Relax na ufuate maagizo ya daktari wako.Tatizo ni kutumia dawa mpaka kifo
Ushauri mzuri ni huo wa MalcoIM XII. Huu wako sio tu haufai bali haufai kabisa.Mkuu fuata ushauri wa daktari ukifanya mchezo utapata ulemavu wa kudumu yani stroke
MalcoIM XII kakupa ushauli mzuri usikubali kupakamia madozi bila kujiridhisha...mimi nilikuwa nalowesha kitanda usiku kwa jasho, na nilikuwa nakohowa sana kura pia nilikuwa siwezi kibongo2 ningeambiwa nina TB nilikuwa na hema punzi jujuu luckily ..nimetibiwa hospital wanazokimbilia wanasiasa wetu ikaonekana ni Sarcoidosis...have you ever heard huu ugonjwa? Kapime hospital kubwa Aga Khan.. na nyingine ni afya yako hiyo bruda.Nilikuwa nasumbuliwa na homa.
Miezi mitano iliyopita nilipima nikiwa siumwi ila jasho lilikuwa linanitoka sana na hasa nikiwa nimelala baada ya kupimwa pressure ilikuwa juu nilishauriwa nianze kutumia dawa lakini sikutumia.
Leo nilijisikia mwili hauna nguvu nikapima nikakutwa pressure iko juu ndiyo nimeanzishiwa dozi
Mkuu, haya mambo mpaka yakuingie mwilini mwako, ila ukisikia yanazungumzwa tu na watu baki, unaweza dhani ni storyProf Janab anashauri sana sema wabongo wabishi
Menya punje SITA za kitunguu swaumu,meza kama vidonge kabla hujalala Kila siku baada ya mwezi kapime Tena itashuka Hadi utashangaa!!Habari wataalamu wa tiba katika forums hii.
Nimekwenda kituo cha afya ikigunduliwa ni pressure iliyojuu sana ambapo iko kwa kiwango cha 180/117 kutokana na kiwango hicho nimeshauriwa nianze kutumia dawa za kushusha.
niombe kwenu wadau kama kuna yeyote hali hii ilishawahi mkuta na kutumia dawa siyo kwamba nitakaribisha matatizo zaidi kwani hali yangu ya afya iko vizuri changamoto ninayokutana nayo ni kutoka jasho jingi hasa wakati wa usiku.
Fuata ushauri wa daktari wako.Habari wataalamu wa tiba katika forums hii.
Nimekwenda kituo cha afya ikigunduliwa ni pressure iliyojuu sana ambapo iko kwa kiwango cha 180/117 kutokana na kiwango hicho nimeshauriwa nianze kutumia dawa za kushusha.
niombe kwenu wadau kama kuna yeyote hali hii ilishawahi mkuta na kutumia dawa siyo kwamba nitakaribisha matatizo zaidi kwani hali yangu ya afya iko vizuri changamoto ninayokutana nayo ni kutoka jasho jingi hasa wakati wa usiku.