Elections 2010 Nimeshinda Kura za maoni Kuipepersuha Bendera ya CHADEMA

Elections 2010 Nimeshinda Kura za maoni Kuipepersuha Bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Maswali yako ni mazuri sana lakini namshauri Mbunge huyu asiyajibu mpaka NEC watangaze kwamba kampeni zimeanza.

Mpaka CV yake pia inabidi asubiri NEC? Comeon people?

Kuzungumza view's zako nilazima usubiri NEC? I am just disappointed.
 
Hongera sana dadangu Regia. Niliwahi kusoma zamani katika gazeti moja habari zako, kama mwanaharakati na mwanachama wa Chadema.

Nikipata nafasi nitakuja huko Kilombero. Si mgeni sana huko.

Pia usikatishwe tamaa na walioishiwa kama kiranga. Anashindwa kuisadia CCM yake anadandia dandia mabasi ya wengine.
 
Nadhani Regia ameweza kuhimilia ukosoaji wa humu atakuwa ni kiongozi mzuri tu maana wengine wangekuja kwa hasira. Amepitia Tanuru la Kiranga.. and survived.. she will be able to handle anything coming her way. Keep it up na usije ukajikuta unamshyrose mtu! Unless it is absolutely necessary! You go girl! Got my support!

You have missed the point here my dear Mwanakijiji. Huyu kiranga hawezi kuwa benchmark ya kumfanya Regia awe mbunge mzuri. Wa kijani anawafaa akina Makamba huko huko CCM, kusiko na mwelekeo.
 
Tunakuunga mkono.

Umejiandaaje kuhakikisha hakuna mtu anaiba kura zako? Kama ulifuatilia kesi dhidi ya ushindi wa ubunge wa Slaa, utaona ziko mbinu chafu zinazotumiwa na CCM kubadilisha matokeo.

Una mikakati ipi? Maana lazima kupanga sana kabla ya kutekeleza.
 
woow, thanks God that i have lived to see a friend like you struggling and finally succeeding to go with it!
Hongera sana rafiki, tuko pamoja, na tutafuatilia sana kila hatua unayosogea!
 
OK since kipenga cha ubunge kimelia, sasa naona maswali yangu yatajibiwa.

Why do want to be Mbuge?

What experience make exceptional na wagombea wengine? Na kwa nini Kilombero wakuchague wewe?

Tell us in you 1st 100days in the Bunge what will be your core focus?

It's obvious that CCM will bring majority on the floor, tell us how you gonna battle the minority status?

Do you believe Tanzania is in poverty by choice or ? why or why not.
 
Tafadhali naomba msiniulize nagombea jimbo gani. Ni jimbo moja la Mkoani, Wilaya yenye jimbo moja.. Zaidi ya hapo usiniulize.

Regia, fanya ku update hapo juu ili isomemeke vema zaidi. Naona kama hiyo tahadhari sio relevant tena kwa kuzingatia signature yako hapa chini na uwazi uliokwishaamua kuonesha!
Mgombea Ubunge(CHADEMA) Jimbo la Kilombero-Kilombero For Change(K4C)
 
OK since kipenga cha ubunge kimelia, sasa naona maswali yangu yatajibiwa.

Why do want to be Mbuge?

What experience make exceptional na wagombea wengine? Na kwa nini Kilombero wakuchague wewe?

Tell us in you 1st 100days in the Bunge what will be your core focus?

It's obvious that CCM will bring majority on the floor, tell us how you gonna battle the minority status?

Do you believe Tanzania is in poverty by choice or ? why or why not.

Mtanganyika, nina hakika mdogo wetu Regia ana uwezo wa kujibu haya maswali na kwa ufanisi mkubwa kabisa. Lakini kwa kuwa unasema kipenga cha kampeni kimeshalia, si ungempa nafasi autumie muda huu mfupi alionao kufikisha ujumbe kwa wana Kilombero badala ya humu JF ? Mimi nachukua nafasi hii kumtakia kila la heri Mbunge mtarajiwa Regia katika safari yake ya kuelekea mjengoni, Dodoma. Go Regia, Go !
 
Mag3,
Mkuu naweza pata orodha ya majina ya wagombea wa Chadmea ktk majimbo yao ili tupate kuyapitia?
 
Mtanganyika, nina hakika mdogo wetu Regia ana uwezo wa kujibu haya maswali na kwa ufanisi mkubwa kabisa. Lakini kwa kuwa unasema kipenga cha kampeni kimeshalia, si ungempa nafasi autumie muda huu mfupi alionao kufikisha ujumbe kwa wana Kilombero badala ya humu JF ? Mimi nachukua nafasi hii kumtakia kila la heri Mbunge mtarajiwa Regia katika safari yake ya kuelekea mjengoni, Dodoma. Go Regia, Go !

Mazee unajuaje kama JF si media ya kuwafikishia wana Kilombero habari?

Ungekuwa na mantiki kama huyo mgombea mwenyewe angekuwa haonekani hapa kwa sababu ana campaign Kilombero, mgombea mwenyewe kajaa tele kama pishi ya mchele hapa, hata hiyo kampeni sijui anafanya saa ngapi, sasa midhali yupo hapa, aje kujibu maswali basi.

Au anataka kuendeleza habari za usiri mpaka kwenye kujibu maswali ?

Au kapelekea watu wamchongee majibu ?
 
Mazee unajuaje kama JF si media ya kuwafikishia wana Kilombero habari?

Ungekuwa na mantiki kama huyo mgombea mwenyewe angekuwa haonekani hapa kwa sababu ana campaign Kilombero, mgombea mwenyewe kajaa tele kama pishi ya mchele hapa, hata hiyo kampeni sijui anafanya saa ngapi, sasa midhali yupo hapa, aje kujibu maswali basi.

Au anataka kuendeleza habari za usiri mpaka kwenye kujibu maswali ?

Au kapelekea watu wamchongee majibu ?

Kamanda... we know kwamba regia bado kijana and may need alot of polishing and massaging kuiva kuwa wengine tulipoexpect... lakini naomba kwa sasa basi tumpe support kidogo na hasa psychological support ajitahidi...

she has a tough opponent and probably we can help her more through emails and financial support; I am sure he has grown alot by being here for sometime

what do you think?
 
Kamanda... we know kwamba regia bado kijana and may need alot of polishing and massaging kuiva kuwa wengine tulipoexpect... lakini naomba kwa sasa basi tumpe support kidogo na hasa psychological support ajitahidi...

she has a tough opponent and probably we can help her more through emails and financial support; I am sure he has grown alot by being here for sometime

what do you think?

Mimi huwa sina tabia ya ku support kitu kwa groupthink, naamua mwenyewe, na nishasema kwa mujibu wa maoni yangu huyu dada hana uwezo. Sasa kwa nini ni support mtu ambaye naona clearly hana uwezo?

Sio tu hana uwezo, huyu hata potential ya kuja kupata uwezo hana.Kila siku ni gaffe after gaffe, dharau kwa watu wanaomsaidia, ujivuni, wishful thinking zisizo strategy ete. Kwa nini ni support mtu kama huyu?

Kwangu hii ni usaliti kwa kanuni za kutaka uongozi bora Tanzania. Sio kosa langu kwamba CHADEMA wamemchagua mgombea dhaifu Kilombero.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom