Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
GS kama unanisikia endelea kujificha hivo hivo usionyeshe identity yako kwanza maana nawajua waswahili badala ya kukusafisha watakuchafua, wanajifanya sasa wanakupenda eti wanataka kukupa ushauri, utakapojionyesha tu utaniambia, kama wanakitu cha zaidi wataku PM.
Cha muhimu wewe nenda ongea na wapiga kura wako kama kuna member mtakutana naye kwenye field jua huyo ndiye supporter halisi sisi wengine ni wapiga domo tu ndugu yangu, jitambulishe uone moto watu wanaweza kukufungia safari waje jimboni kukumaliza believe me or not muulize Mwakalinga a.k.a Mtanzania atakusimulia.
Wanatolea mifano ya Dr. Slaa, Mnyika na Zitto, hawajui hao wamejiunga JF wakiwa tayari public figures. Kama ulivyosema kisisasa wewe bado mchanga komaa kwanza ndipo ujitambulishe hapa, hata kinda la njiwa hufundishwa kuruka kwa kupiga piga mabawa ndani ya kibweta kabla ya kutolewa nje, ila kama litajifanya limeshajua litaachwa litelemke chini ya mti na halitaweza kupanda tena. Take or don't take my opinion.
Angekuwa anataka kufanya hivyo aingesema kitu kuhusu ugombea wak hapa. Angewasiliana na watu privately.
Sasa watu tukisema huyu hana sifa wala uwezo wa kuongoza, na ni bishoo tu kaja kutulingishia kushinda kura ya maoni utakataa?
Mtu aliye serious na uchaguzi anaendesha kampeni mpaka sehemu nyingine ambazo hazifai, leo mtu ana uwanja anajidai usiri? Anaogopa nini?
Hatutaki wabunge waoga.