apate jimbo huyu labda la JF hata hilo hapati kura, huyu ni sawa na wale wanafunzi vimbele mbele wanaojifanya kuuliza maswali mengi darasani ikija test anapata 10.Kiranga anagombea jimbo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
apate jimbo huyu labda la JF hata hilo hapati kura, huyu ni sawa na wale wanafunzi vimbele mbele wanaojifanya kuuliza maswali mengi darasani ikija test anapata 10.Kiranga anagombea jimbo gani?
unajifanya much know sana kila jukwaa upo kila thread upo na kuingilia mijadala ya watu kujifanya mjuvi unajua kila field wakati hatuoni kitu chochote zaidi ya pumba na matusi, jirekebishe.
sasa unapouliza mgombea ni mwanamke au mwanamme una hoja gani hapo unataka kuolewa.Hahaha, sasa kama "najifanya" mbona unashindwa kupangua hoja unakuja na shutuma za jumla jumla ?
Hapati jimbo la uchaguzi na anapata 10 darasani, sawa, kwa nini unamjadili?apate jimbo huyu labda la JF hata hilo hapati kura, huyu ni sawa na wale wanafunzi vimbele mbele wanaojifanya kuuliza maswali mengi darasani ikija test anapata 10.
Mweh,sredi yangu imepoteza mwelekeo.Yangu macho tuone sasa hao wanaoweza kuface challenges za kila namna.
Mweh,sredi yangu imepoteza mwelekeo.Yangu macho tuone sasa hao wanaoweza kuface challenges za kila namna.
Ndio maana nilikuambia ni bora usingetangaza hapa.....ungewatangazia tu hao watu wa jimbo lako.
sasa unapouliza mgombea ni mwanamke au mwanamme una hoja gani hapo unataka kuolewa.
Mh... i see nothing wrong kuleta hapa kwani wa jimboni watakua wanajua na ndio maana alipata hizo votesNdio maana nilikuambia ni bora usingetangaza hapa.....ungewatangazia tu hao watu wa jimbo lako.
Ndio maana nilikuambia ni bora usingetangaza hapa.....ungewatangazia tu hao watu wa jimbo lako.
ni wewe kweli mkuu?Hii ni jeuri sasa. Kama hutaki kuulizwa yote hayo kwa nini umekuja kutuambia hapa kuwa umeshinda kura za maoni kwenye chama chako? Unachoogopa kuulizwa ni nini au kwa nini hutaki tusikuulize? Mantiki zingine bana...yaani hazina mbele wala nyuma.
Eti tusikuulize....tusikuulize kwani wewe ni nani? Ebo! Watu kama nyinyi hamfai kabisa kushika public office kwa sababu hamuelewi maana yake. Kama hutaki watu wakuulize maswali basi jitoe.
Mbunge gani mtarajiwa una jeuri hivyo.....Halafu kwani ukiulizwa unagombea jimbo gani nini kitaharibika? Kwa sababu siyo kwamba unamwaga mbinu na mikakati yako hadharani.....
Umeshanitibua na kwenye uchaguzi mkuu na ushindwe kwa sababu hustahili kuwatumikia watu wa jimbo lako.
Nyani Ngabu,kulikuwa na kila sababu ya kujitangaza humu bila hata ya kufahamika..Ila basi tu watu wanataka niweke identity yangu hadharani..Kwani ingeishia tu kujua GS anagombea Ubunge jimbo X kingaharibika nini?what is the essence ya kujuana?lakini kwakuwa wa ubani kanishauri nijiwke hadharani ndio nafanya process za kuzungumza na mods ili niwe hadharani..Kwahiyo GS itanaenda kufa masaa machache yajayo..
duuuuu,mkuu mnakoelekea kubaya.kumuuliza yeye mwanamke au mwanaume wewe unachotaka nini ndoa? huna hoja, haya mimi mwanamme ni PM nikuelekeze nilipo.
kumuuliza yeye mwanamke au mwanaume wewe unachotaka nini ndoa? huna hoja, haya mimi mwanamme ni PM nikuelekeze nilipo.
duuuuu,mkuu mnakoelekea kubaya.
mmmmmh, NILIJUA MUDA SI MREFU MTAFIKIA HAPA..............ACHENI HIZO LUGHA.......USHAURI;KWA NN, KIRANGA QUININE1.VUMILIANENINina mashaka huyu Quinine ndiye yule Omar aliyepigwa na Shyrose anataka kuja kumalizia hasira zake hapa.
Kwa taarifa yako tu mimi rijali kwa mabinti ila ma.s.h.oga situmii, kwa hiyo kama unataka kushikishwa ukuta tafuta bwana sehemu nyingine.
Sasa kinachokuwasha kuuliza jinsia ya mgombea ni nini.Nina mashaka huyu Quinine ndiye yule Omar aliyepigwa na Shyrose anataka kuja kumalizia hasira zake hapa.
Kwa taarifa yako tu mimi rijali kwa mabinti ila ma.s.h.oga situmii, kwa hiyo kama unataka kushikishwa ukuta tafuta bwana sehemu nyingine.
Tallmmmmmh, NILIJUA MUDA SI MREFU MTAFIKIA HAPA..............ACHENI HIZO LUGHA.......USHAURI;KWA NN, KIRANGA QUININE1.VUMILIANENI
2.KAMA UNAONA JAMAA KAKUUDHI,TULIA KWA MUDA KWANZA KABLA HUJASEMA CHOCHOTE.......HASIRA IKIISHA...UNAENDELEA
3.BADO TUNAHITAJI SANA MICHANGO YENU HAPA JF.
USHAURI KWA GS
1.SIASA INA MIKIKIMIKIKI YA AJABU NA MAMBO PENGINE USIYOYATEGEMEA KABISA.
2.UTAFIKIA MAHALI UTATUKANWA,KUDHARAULIWA,KUTISHWA, NA HATA KUDHALILISHWA.....PIGA MOYO KONDE
3.USIJE UKAMKASIRIKIA AU KUMJIBU MTU YEYOTE VIBAYA KWA KUTOA MAWAZO YAKE VILE USIVYOTAKA.
NINACHOKIONA;
1.UNACHANCE KUBWA YA KUSHINDA.
2.NA UKISHINDA SINA SHAKA UTAKUWA KIONGOZI BORA.........HAYO NDIYO MAONI YANGU.
Sasa kinachokuwasha kuuliza jinsia ya mgombea ni nini.
Tall
Mimi sina tatizo ila ninachotaka ni heshima kwa mgombea si huyu tu bali wagombea wote wapewe heshima stahili, mtu anakuja na maswali ya ajabu ajabu kwanini asijibiwe kiajabu ajabu. Unauliza mgombea ni wa kike au wa kiume hilo litasaidia nini jimboni kwake.
Huyo kiranga angekuwa anauliza maswali kama mgombea atawafanyia nini wapiga kura wake au kwenye jimbo lake kuna matatizo gani makuu nafikiri GS atakuwa mjinga kutojibu maswali kama hayo.