Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuliza unakufa lini kimya kuna nafasi makaburi ya sinza tena barabarani tu ... miti ya upepo .... kufa hata leo tunakuweka pale .. watu ni wengi so kufa leo au kesho tukupe kaburi sinza kwa wajanja marehemu uenjoyBaba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana,
Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini.
Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka kibamba walikuwa wanazika tu nyumbani kama una eneo kubwa,
Korona ya nwaka 2021 ikaondoka na mzee,tukafuatilia kibali cha mazishi ili tumzike nyumbani,wakatukatalia wakisena huu sasa ni mji na ni manispaa japo aliacha eneo kubwa tu,tukaenda kumzika makaburi ya umma.
Pembeni yake palikuwa wazi nikapalipia ili nikifa nizikwe karibu na mzee maana mi sina kwetu.??
Hiki ni kitu cha kawaida sana,wengi wanaozikwa kinondoni cemetry walishalipia site zao kitambo,kwa ufupi pameshajaa kabla ya kujaa,sio kitu kipya,mji unakua na maeneo ya kuzikia hakuna.
Chimbo jipya sasa kwa wakazi wa jimbo la kawe na maeneo jirani ni makaburi ya kondo.
Turudi kwenye mada,sasa mwaka jana nikakuta site yangu kuna kaburi jipya,Nikaanza fujo fujo mpaka baraza la usuluhishi la kata
kufuatilia nyaraka sijalipia ada ya mwaka 2022 ada ndogo tu ya 10000 kila mwaka.huwa wanaweka ada ya kila nwaka kama kuhakiki kuwa huyu mmiliki yupo hai au alishajufa,badhani hata NSSF wana huo utaratibu wa kulipa mafao baada ya uhakiki.
Wananzengo ndio hivyo nimeshakosa haki yangu nikifa nizikeni popotetu
Itakuwa maendeleo dumavu kwa atakayezikwa kwenye ground floorNilijua sijaelewa Heading..
Kama vipi wakuzike juu yake,
Iwe kama Gorofa, wanaita Sustainable development.
Mke lazima tumchape ila kuoa hatutomuoa..Mimi Nikifa nizikwe popote tu au hata wachome maiti yangu
Zingatio ni Moja tu Mke wangu asiolewe
Nimeuliza unakufa lini kimya kuna nafasi makaburi ya sinza tena barabarani tu ... miti ya upepo .... kufa hata leo tunakuweka pale .. watu ni wengi so kufa leo au kesho tukupe kaburi sinza kwa wajanja marehemu uenjoy
Utakufa wewe kabla yangu mkuuMke lazima tumchape ila kuoa hatutomuoa..
Aisee,usijali utazikwa tuu!Baba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana,
Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini.
Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka kibamba walikuwa wanazika tu nyumbani kama una eneo kubwa.
Korona ya nwaka 2021 ikaondoka na mzee,tukafuatilia kibali cha mazishi ili tumzike nyumbani,wakatukatalia wakisena huu sasa ni mji na ni manispaa japo aliacha eneo kubwa tu,tukaenda kumzika makaburi ya umma.
Pembeni yake palikuwa wazi nikapalipia ili nikifa nizikwe karibu na mzee maana mi sina kwetu?
Hiki ni kitu cha kawaida sana,wengi wanaozikwa kinondoni cemetry walishalipia site zao kitambo,kwa ufupi pameshajaa kabla ya kujaa,sio kitu kipya,mji unakua na maeneo ya kuzikia hakuna. Chimbo jipya sasa kwa wakazi wa jimbo la kawe na maeneo jirani ni makaburi ya kondo.
Turudi kwenye mada,sasa mwaka jana nikakuta site yangu kuna kaburi jipya,Nikaanza fujo fujo mpaka baraza la usuluhishi la kata.
kufuatilia nyaraka sijalipia ada ya mwaka 2022 ada ndogo tu ya 10000 kila mwaka.huwa wanaweka ada ya kila nwaka kama kuhakiki kuwa huyu mmiliki yupo hai au alishajufa,badhani hata NSSF wana huo utaratibu wa kulipa mafao baada ya uhakiki.
Wananzengo ndio hivyo nimeshakosa haki yangu nikifa nizikeni popotetu.
Bwana eehBaba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana,
Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini.
Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka kibamba walikuwa wanazika tu nyumbani kama una eneo kubwa.
Korona ya nwaka 2021 ikaondoka na mzee,tukafuatilia kibali cha mazishi ili tumzike nyumbani,wakatukatalia wakisena huu sasa ni mji na ni manispaa japo aliacha eneo kubwa tu,tukaenda kumzika makaburi ya umma.
Pembeni yake palikuwa wazi nikapalipia ili nikifa nizikwe karibu na mzee maana mi sina kwetu?
Hiki ni kitu cha kawaida sana,wengi wanaozikwa kinondoni cemetry walishalipia site zao kitambo,kwa ufupi pameshajaa kabla ya kujaa,sio kitu kipya,mji unakua na maeneo ya kuzikia hakuna. Chimbo jipya sasa kwa wakazi wa jimbo la kawe na maeneo jirani ni makaburi ya kondo.
Turudi kwenye mada,sasa mwaka jana nikakuta site yangu kuna kaburi jipya,Nikaanza fujo fujo mpaka baraza la usuluhishi la kata.
kufuatilia nyaraka sijalipia ada ya mwaka 2022 ada ndogo tu ya 10000 kila mwaka.huwa wanaweka ada ya kila nwaka kama kuhakiki kuwa huyu mmiliki yupo hai au alishajufa,badhani hata NSSF wana huo utaratibu wa kulipa mafao baada ya uhakiki.
Wananzengo ndio hivyo nimeshakosa haki yangu nikifa nizikeni popotetu.
Tutakuzika makaburi ya Kondo, bado yana nafasiBaba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana,
Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini.
Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka kibamba walikuwa wanazika tu nyumbani kama una eneo kubwa.
Korona ya nwaka 2021 ikaondoka na mzee,tukafuatilia kibali cha mazishi ili tumzike nyumbani,wakatukatalia wakisena huu sasa ni mji na ni manispaa japo aliacha eneo kubwa tu,tukaenda kumzika makaburi ya umma.
Pembeni yake palikuwa wazi nikapalipia ili nikifa nizikwe karibu na mzee maana mi sina kwetu?
Hiki ni kitu cha kawaida sana,wengi wanaozikwa kinondoni cemetry walishalipia site zao kitambo,kwa ufupi pameshajaa kabla ya kujaa,sio kitu kipya,mji unakua na maeneo ya kuzikia hakuna. Chimbo jipya sasa kwa wakazi wa jimbo la kawe na maeneo jirani ni makaburi ya kondo.
Turudi kwenye mada,sasa mwaka jana nikakuta site yangu kuna kaburi jipya,Nikaanza fujo fujo mpaka baraza la usuluhishi la kata.
kufuatilia nyaraka sijalipia ada ya mwaka 2022 ada ndogo tu ya 10000 kila mwaka.huwa wanaweka ada ya kila nwaka kama kuhakiki kuwa huyu mmiliki yupo hai au alishajufa,badhani hata NSSF wana huo utaratibu wa kulipa mafao baada ya uhakiki.
Wananzengo ndio hivyo nimeshakosa haki yangu nikifa nizikeni popotetu.
Pole sana.Baba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana,
Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini.
Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka kibamba walikuwa wanazika tu nyumbani kama una eneo kubwa.
Korona ya nwaka 2021 ikaondoka na mzee,tukafuatilia kibali cha mazishi ili tumzike nyumbani,wakatukatalia wakisena huu sasa ni mji na ni manispaa japo aliacha eneo kubwa tu,tukaenda kumzika makaburi ya umma.
Pembeni yake palikuwa wazi nikapalipia ili nikifa nizikwe karibu na mzee maana mi sina kwetu?
Hiki ni kitu cha kawaida sana,wengi wanaozikwa kinondoni cemetry walishalipia site zao kitambo,kwa ufupi pameshajaa kabla ya kujaa,sio kitu kipya,mji unakua na maeneo ya kuzikia hakuna. Chimbo jipya sasa kwa wakazi wa jimbo la kawe na maeneo jirani ni makaburi ya kondo.
Turudi kwenye mada,sasa mwaka jana nikakuta site yangu kuna kaburi jipya,Nikaanza fujo fujo mpaka baraza la usuluhishi la kata.
kufuatilia nyaraka sijalipia ada ya mwaka 2022 ada ndogo tu ya 10000 kila mwaka.huwa wanaweka ada ya kila nwaka kama kuhakiki kuwa huyu mmiliki yupo hai au alishajufa,badhani hata NSSF wana huo utaratibu wa kulipa mafao baada ya uhakiki.
Wananzengo ndio hivyo nimeshakosa haki yangu nikifa nizikeni popotetu.
Maamuzi mujarabu ila MagumuPole sana.
Ila kama bado una nia ya kuzikwa na mzee wako unaweza kufanya moja ya mambo haya:
1. Ukifa omba wachome maiti yako ndugu zako wachukue majivu kidogo wakazike alipozikwa mzee wako. Majivu mengine wanaweza kusambaza nyumbani kwako unapoishi
2. Ukifa wafukue hilo hilo kaburi la mzee wako wakuzike hapo na wewe. Kama itakuwepo mifupa ya mzee wako wanaifukia tu na pamoja na mwili wako
Au angeomba azikwe hai ili awahi nafasi chapu..Aisee kumbe kuna mambo hayo, ungejua ungejenga kabisa kaburi lenye mfuniko liwe standby ukifa wanakuzika